kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 266
Wanajamvi naomba kujua vigezo vya uteuzi wa wakuu wa idara katika hizi halmashauri za wilaya ni kwamba wengine wanasema mpaka uwe na uzoefu wa kazi zaidi ya miaka 7 kwa idara moja tu yaani ile unayoifanyia kazi na wengine wanasema mpaka uwe na uzoefu wa miaka 7 katika utumishi wa UMMA haijalishi idara moja unayofanyia kazi bali ni idara yeyote ile katika halmashauri ilimradi umeutumikia UMMA kwa miaka 7.kwa hiyo napata mkanganyiko hapo.
Ni hivi mimi nilikua mwalimu ambaye niliajiliwa mwaka 1998 baadae nikajiendeleza kwa kusoma chuo cha mipango dodoma degree na masters ambapo nimemaliza mwaka juzi 2010 na baada ya kuhitimu nikarudi wilayani kwangu na kufanya recategolization nimehamishiwa idara ya mipango nina mwaka na kidogo mpaka sasa toka nihamishiwe idara hii mpya je kwa uzoefu huu wa mwaka mmoja katika hii idara ya mipango nina uwezo wa kuteuliwa na kua mkuu wa idara??kwasababu ukihesabu toka nianze kazi 1998 mpaka sasa ni miaka 13 ambapo 12 nilikua mwalimu shule za msingi na nimekua afisa mipango kwa mwaka mmoja kwa hiyo naomba msaada wa kujuzwa hilo pia kama kuna waraka wa uteuzi wa wakuu wa idara mmoja kati yetu anao ningeomba atuwekee hapa ili na sisi tuuone walau uweze kutusaidia kutatua jambo hili maana nakosa raha kabisa kwa kua siyaoni matunda ya elimu yangu kichwa kimebaki kimechanganyikiwa kabisaaaaaa maana ukiniambia nitumikie cheo hiki kipya miaka 7 ndipo nipate ukuu wa idara maana yake nitaupata uafisa mipango wa wilaya karibia na kustaafu.mbaya zaidi nilipofanyiwa recategolization maana yake nilirudishwa kwenye TGS D kama mtu wa entry point kweli haya naona kama ni maumivu makali sana ndio maana nimeona niingie hapa jamvini kwani naamini jamvi hili litasaidia kupata maoni mbalimbali na nyaraka za vyeo juu ya jambo hili
Ni hivi mimi nilikua mwalimu ambaye niliajiliwa mwaka 1998 baadae nikajiendeleza kwa kusoma chuo cha mipango dodoma degree na masters ambapo nimemaliza mwaka juzi 2010 na baada ya kuhitimu nikarudi wilayani kwangu na kufanya recategolization nimehamishiwa idara ya mipango nina mwaka na kidogo mpaka sasa toka nihamishiwe idara hii mpya je kwa uzoefu huu wa mwaka mmoja katika hii idara ya mipango nina uwezo wa kuteuliwa na kua mkuu wa idara??kwasababu ukihesabu toka nianze kazi 1998 mpaka sasa ni miaka 13 ambapo 12 nilikua mwalimu shule za msingi na nimekua afisa mipango kwa mwaka mmoja kwa hiyo naomba msaada wa kujuzwa hilo pia kama kuna waraka wa uteuzi wa wakuu wa idara mmoja kati yetu anao ningeomba atuwekee hapa ili na sisi tuuone walau uweze kutusaidia kutatua jambo hili maana nakosa raha kabisa kwa kua siyaoni matunda ya elimu yangu kichwa kimebaki kimechanganyikiwa kabisaaaaaa maana ukiniambia nitumikie cheo hiki kipya miaka 7 ndipo nipate ukuu wa idara maana yake nitaupata uafisa mipango wa wilaya karibia na kustaafu.mbaya zaidi nilipofanyiwa recategolization maana yake nilirudishwa kwenye TGS D kama mtu wa entry point kweli haya naona kama ni maumivu makali sana ndio maana nimeona niingie hapa jamvini kwani naamini jamvi hili litasaidia kupata maoni mbalimbali na nyaraka za vyeo juu ya jambo hili