Je nitapata wapi bank ambayo itakubali kunikopesha million kama 15 ili nilipe deni kama 3.7 milion deni lingine kwenye bank fulani kisha nipate tofauti yake?
Nina shida imenipata ya daharura lakini baadhi ya bank wanataka nipitishie kwanza mshahara wangu kwa miezi mitatu
siwezi kupitishia kwanza pengine mpaka nimalize kuwalipa deni hapo ninapodaiwa
asante
Nina shida imenipata ya daharura lakini baadhi ya bank wanataka nipitishie kwanza mshahara wangu kwa miezi mitatu
siwezi kupitishia kwanza pengine mpaka nimalize kuwalipa deni hapo ninapodaiwa
asante