Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
- Thread starter
- #101
Funga ndoa,after 5 years uje tena ushuhudie!
pole kwa yaliyokusibu
Funga ndoa,after 5 years uje tena ushuhudie!
kumbe huwa ni Eat n run?sikulijua hilo.All the best in the game.
Ubarikiwe kwa hilo dada umempa ahsante lakini?
Usimtishe mwenzio vp uliwahi kuipata furaha ya namna hiyo?
Hahaha! Umeona avatar ya nitonye lakini? Kuna kupata raha kweli hapo lol.hahahahaha ngoja nimwulize kaba daaaah nimekumbuka hebu mwone nitonye hapo jirani
sasa unanitakia mema badala ya kunihurumia we vp?
sijakusoma,hebu fafanua
pole kwa yaliyokusibu
tatizo la antena za bei rahisi,tumia king'amuzi cha star times chenga zinapungua
Hahaha! Umeona avatar ya nitonye lakini? Kuna kupata raha kweli hapo lol.
Si kwenye ile thread ya wanaume wa Dar umesahau Kabakabana? Kuhusu avator yangu au signature yangu, maana avator ni gari inayopita kwenye mafuriko na signature ni mweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai ni lazim uloe ma uliwe kwikwi kwikwi kwikwi kwikwi heeeeesesh!!!!!
Hahaha! Kwani kasema yamemsibu?
Teh teh teh ukitumia ving'amuzi ni mpaka ukalipie sasa kama huna mshiko si itakuwa chenga kabisa?
ahsante ya nini?
hahahaha avatar yake huwa inanifanya niwaze yeye anafananaje
Haha, na hivi anapiga story za pweza ndio kabisaaaa!hahahaha avatar yake huwa inanifanya niwaze yeye anafananaje
Ahsante ya kukufanya uwe na furaha ujue ni kazi kubwa mtu kukupatia furaha embu fikiria mwenye kutoa furaha anaitoa kwa jasho kwelikweli ila wewe unayepokea hiyo furaha meno yote 32 nje
Hahaha!kaongea kwa machungu ambayo obviously yanatokana na experience
hahahaha avatar yake huwa inanifanya niwaze yeye anafananaje