Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Raha ya dunia ni mambo matatu, ya kwanza ni afya, ya pili ni mali ya tatu ya kupendwa.Jamani nina raha mwenzenu mpaka nimeshindwa kunyamaza.Kupendwa raha jamani lol najihisi niko peponi.
Hiyo raha ya leo uliyonayo siyo kundwa peke yake. Kuna kitu cha ziada ulichofanyiwa leo
Hongera bibie
hehehe ni mapenzi tu motomoto tuu hakuna zaidi uwii jamani mie
No thank you, maybe some other time...ahsante mwali,karibu bia
Endelea na hayo makelele yako kama sijakubaka una bahati
No thank you, maybe some other time...
Ni nani sasa? Unajua ni vizuri kutwambia sisi dada zako nani shemeji yetu ili tusije tukagongana bila kujua. Dunia ni ndogo hii. lol
ahsante mwali,karibu bia
Hongera mwaya... nasubiri kadi yangu tu sasa. lolusijali kipenzi, kwa huyu wala hatuwezi kugongana! Na si muda sana nitamuweka wazi,nikishavalishwa pete dear.
hehehe ni mapenzi tu motomoto tuu hakuna zaidi uwii jamani mie
kwani unataka kunibaka?
Good to know honey. I hope to get all the hot details in PM. lol
Kwani mgonjwa kapona kabisa? Usijetuulia mtu tafadhali.
Kama kuna watu wanaongoza kwa kuanzisha thread za FB FB wewe Kabakabana ungeshinda hapa JF. To be serious kila mtu ana mpenzi au wapenzi hivyo jamaa akinogesha vionjo tu basi tayari ni thread kuna hatari tukashindwa kuchangia thread kwa wingi wake.
Chit Chat bado haikupi nafasi ya kuanzisha thread ambazo hazimbidiishi msomaji kuchangia.
Honger kwa mzee kukupenda.
Aah afadhali manake nimeshtuka sana...hahaha kapona jamani dear, madekezo yote niliyompa ataacha kupona tena?
Hongera mwaya... nasubiri kadi yangu tu sasa. lol