Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 134
kadada ka1 kalikuwa kana dimpozi sana, ka black hivi...kuna wakati alikuwa anasoma hapo dsj, wakati huo hapo kumekucha kweli ndio sinta, nora, nana wapo hapo chuoni, tupo bonga bar tunapata kilaji juma nature anakuja kumchukua mami wakati huo...mwehh bungoni palikuwa hot kweli kweli....hivi Fidel ile bar ya bonga bado ipo hapo ilala bungoni?
Bonga bar imekufa .....sijui imefungwa....?