hizo zinakuwa kogo tu za sie wadada we penyeza rupia kwa sana, tema madin yanayonunulika utasikia "nilikuwa nae tumeachana".... hii ndo game ya mapenz ilivyo kwa hiv sasa
umbea huo
ushaacha kazi BOT basi ya BOT yaache BOT..
we jali SACCOS yako now lol
aaah kaunga taratibu ndugu!
Nilikuwa nakusamilia tu! Umekaribishwa BOT, as one of the office managers, ujue kuna masecretary pia na God knows how many other titles. Mimi nimehamia Word Bank as a Co Director, so Boss wangu wa zamani kinamkera hicho! LOL
kila mtu ana mtu...asiyekua na mtu ana ishuz
poa mkuu...nilikuwa nafikiria kufanya hivyo..nashukuru kwa kunipa moyo,, anadai mtu wake anasoma Botswana na hajaja mwaka wa tatu sasa...
Wakuu habari za leo? Mara nyingi nimekuwa nikikumbana na hilo jibu "nina mtu"...
Hii hutokea baada ya kufanya juhudi nyinginezo za kumuweka mtu karibu, nimekuwa mtu wa kukata tamaa sana...licha ya ushauri niliowahi kuupata Msaada; Nahisi kuishiwa mbinu
Ninachojiuliza
1. Je inawezekana kuwa na mtu ambaye ana mtu kabisa?
2. Nifanyeje na wewe huwa unafanyeje ukutanapo na jibu kama hili?
3. Je watu wanaingia kwenye mahusiano kwasababu tu hawana watu?
Naombeni ushauri wenu, maana kuna mdada nampenda na nimejitahidi kumuweka karibu...lakini jana kaniambia anaouita ukweli wake "ana mtu"...nimeshindwa nifanyeje mpaka muda huu.
hizo zinakuwa kogo tu za sie wadada we penyeza rupia kwa sana, tema madin yanayonunulika utasikia "nilikuwa nae tumeachana".... hii ndo game ya mapenz ilivyo kwa hiv sasa
Wakuu habari za leo? Mara nyingi nimekuwa nikikumbana na hilo jibu "nina mtu"...
Hii hutokea baada ya kufanya juhudi nyinginezo za kumuweka mtu karibu, nimekuwa mtu wa kukata tamaa sana...licha ya ushauri niliowahi kuupata Msaada; Nahisi kuishiwa mbinu
Ninachojiuliza
1. Je inawezekana kuwa na mtu ambaye ana mtu kabisa?
2. Nifanyeje na wewe huwa unafanyeje ukutanapo na jibu kama hili?
3. Je watu wanaingia kwenye mahusiano kwasababu tu hawana watu?
Naombeni ushauri wenu, maana kuna mdada nampenda na nimejitahidi kumuweka karibu...lakini jana kaniambia anaouita ukweli wake "ana mtu"...nimeshindwa nifanyeje mpaka muda huu.