BIG Banned
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 262
- 71
Inategemeana na umri wake. Lakini usiwe mwepesi kukata tamaa, sometime wanacheki upo serious kiasi gani. Akisema ana mtu na wewe mwambie una mtu vilevile.
nakubaliana na wwe-but sometime ukiforce mambo-huwa wanakubali tuhakuna anae acha kazi kutafuta kazi
watu huacha kazi wakishapata kazi ya maslahi zaidi
na wanawake hivyo hivyo...
akisema ana mtu maana yake wewe huna maslahi kumzidi huyo aliepo now
ukiwa na maslahi zaidi utaambia 'sina mtu'....
go figure
mbona kibarua nilichokupa hukijali saana?lol
Nina Mtu Wangu! LOL
unaona? lol
nikiongeza maslahi je ya hiki kibarua?lol
Nilichokipendea hicho kibarua, sidhani kama chako chafikia! Na mbaya zaidi siwezi pinpoint ni nini nilichopendea; ni combination of everything. Na believe me ni yeye pekee anayo just like fingerprint!
Labda anitende na hivyo nimchukue; then nitakaa nitulie nisubiri moyo utanipeleka wapi! So u see The Boss how complicated it is?
ngoja niweke nafasi yako wazi rasmi
waje new employees niwafanyie interview.....lol
my office is busy ukitoka tu wanaingia lol
Ipi ya SH ha ha ha!
Waichukue tu, maana mimi nataka niwe naye 24/7, sio mpaka Maza hausi aende short coz sijui London! LOL
Kwanza tulikuwa wangapi? 8 au 13? LOL
inaonesha ulivyokuwa mtoro wa kazi
hata wenzio huwajui...
sasa unafikiri ungepandishwa vipi cheo ili usafiri
na mimi?lol.....
usisahau 'kazi mbaya ukiwa nayo' lol
Akuu, hiyo biashara ya kuimbiana taarabu na kuendeana kwa waganga nani anaitaka!
Niliamua kuachia kimya kimya, na Mungu si The Boss nimekuwa Maza Hausi wa Kibarua changu kingine!
Ila kama wataka kuwa kidumu changu, tuma CV! LOL
The Boss asiee l can't you even a small!
Haya bwana, tena sintakuintroduce kwa nyu imploya wangu, usije ukaniharibia ili aniache. Duh nshakustukia!
Wewe mwenyewe umesema tunafuata maslahi; nimetoka BOT sasa niko WB! Utajibeba! LOLanaweza kukuacha for his insecurities tu
maana ataona umeacha kazi BOT
sasa umeajiriwa SACCOS...
anaweza asijiamini lol
hakuna anae acha kazi kutafuta kazi
watu huacha kazi wakishapata kazi ya maslahi zaidi
na wanawake hivyo hivyo...
akisema ana mtu maana yake wewe huna maslahi kumzidi huyo aliepo now
ukiwa na maslahi zaidi utaambia 'sina mtu'....
go figure