Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,147
Wanakusikitikia unavyo chunwa...Mpenz wangu kaumbika kama malkia fulan, sasa nikitoka naye out macho ya watu kodo nitafute dawa gani kodo isiwepo ndugu
Wanakusikitikia unavyo chunwa...Mpenz wangu kaumbika kama malkia fulan, sasa nikitoka naye out macho ya watu kodo nitafute dawa gani kodo isiwepo ndugu
Picha tafadhali
Embu tupia picha tutoe maksi??Mpenz wangu kaumbika kama malkia fulan, sasa nikitoka naye out macho ya watu kodo nitafute dawa gani kodo isiwepo ndugu
aahahahaaha et hata elizabeth duuHata Elizabeth ni Malkia..Nyosha maelezo
Huenda ni malaya anaejiuza mahali fulani hv, so anafahamika kwa wengi kutokana na kazi yake hiyo. Ushauri. HAMA MJIMpenz wangu kaumbika kama malkia fulan, sasa nikitoka naye out macho ya watu kodo nitafute dawa gani kodo isiwepo ndugu
Mpenz wangu kaumbika kama malkia fulan, sasa nikitoka naye out macho ya watu kodo nitafute dawa gani kodo isiwepo ndugu
wanakupgia mahesabu muda gan itakuwa umeubakiza dunian