malivawan10
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 541
- 310
- Thread starter
- #21
kweli hapo ngoja nikanunueMsitiri kwa bye bui!
kweli hapo ngoja nikanunueMsitiri kwa bye bui!
Nani kakudanganya malkia wote wameumbika?!Mpenz wangu kaumbika kama malkia fulan, sasa nikitoka naye out macho ya watu kodo nitafute dawa gani kodo isiwepo ndugu
Anangoma huyo ndio maana wanamkodolea macho,kwasababu wanamjua kabla yakoMpenz wangu kaumbika kama malkia fulan, sasa nikitoka naye out macho ya watu kodo nitafute dawa gani kodo isiwepo ndugu
Wakanye wasimuangalie. Ila inawezekana wanakushangaa na kukuhurumia maana labda dada mwenyewe ni chakula ya watu wengi.
Picha tafadhali