malivawan10
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 541
- 310
Mpenz wangu kaumbika kama malkia fulan, sasa nikitoka naye out macho ya watu kodo nitafute dawa gani kodo isiwepo ndugu
lalamaliwato id nyingine hatariKweli wanakuangalia wewe ulivyochemka,na huyo godoro la gest
Aangalie tu akikodoa sana anaweza ona kinachoshangaliwa na wengine na pengine ni dosari itakayomfanya abadili mtazamo wa demu wake kuwa malaika baada ya kugundua ni kibwengo. Si kila kikodolewacho macho ni kizuri, watu watakodoa macho hata kama akipita shetani.Vaa miwani ya mbao usiwaone au na wewe ukitoka jumuika nao kumkodolea macho mpenzi wako utagundua kwa nini watu wanamkodolea macho
Mwanamke mzuri ni kama shamba la miwa jirani na shule ya msingi.
Mh.Magufuli, Salamu! Hizi fikra mbovu tunazipata kwa njia ya maandishi kutoka kwa raia unao waongoza. Je bado una ile ndoto ya kuwa na TZ ya viwanda??? Andika N kama jibu lako ni ndiyo, H kama jibu lako ni hapana ua S kama jibu lako ni sijui...Msalimie Mama Janeth.mpenz wangu kaumbika kama malkia flan xaxa nikitoka nae out macho ya watu kodo nitafute dawa gani kodo isiwepo ndugu
hahaaaaa..nimecheka sana aseee..Mh.Magufuli, Salamu! Hizi fikra mbovu tunazipata kwa njia ya maandishi kutoka kwa raia unao waongoza. Je bado una ile ndoto ya kuwa na TZ ya viwanda??? Andika N kama jibu lako ni ndiyo, H kama jibu lako ni hapana ua S kama jibu lako ni sijui...Msalimie Mama Janeth.