Chanaiti
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 208
- 93
Kwani huyu kayamba alizaa na nani bila shaka na kayamba wa kiume. Lakini kayamba wa kiume yeye ana haki ya kuoa msichana mbichi. Ndo maana mnalaaniwa na vizazi vyenu au unamwita mtu kayamba ushamzalisha unaenda oa huyo mbichi afu unamletea wanao toka kwa kayamba wananyanyaswa weee mpaka future zao zinatoweka na ndoa inakosa amani. Mfikiriege that karma will always follow u somewhere.Dada pole. nakubaliana na wewe kabisa. Ila sisi wengine tunakuwa-driven na mila na jamii zinazotuzunguka. ingawa mila mbaya tuziache nami niliziacha zamani, lakini la koua mwanamke ambaye amezaa "KAYAMBA" mila hiyo bado naiunga mkono maana naona ni bora kijana uoe msichana! Na msichana aolewe na kijana, kwa wanaume walio oa unatafuta nini?