Kwani wewe na yeye tarehe hamzi angalii au anaipata kwa uwoga sura yako inamtishia?
Labda she is upset muoga sana lol
Kwani wewe na yeye tarehe hamzi angalii au anaipata kwa uwoga sura yako inamtishia?
Next time kusanya hela kwa muda wa siku 40 kuliko 30 basi.Siwezi kupanga namna hiyo, mpaka ninapokuwa na hela ndio mipango inakuja...
umeona eeeh?Boflo kila siku una jipya kubwa
kuna wanaokula hata kama mtu yupo kwenye periodKwani ukila wkt anatoka period unapata madhara gani?
umeona eeeh?
We nae, akisha kwambia yuko katika period leo,
kwa nini unasubiri mwezi ndio tena upange?
Subiri siku kumi halafu pangeni kuonana tena.
Heeeeeee! Makubwa!kuna wanaokula hata kama mtu yupo kwenye period
kumbe! orait
Heeeeeee! Makubwa!
Siku zote dharula huvunja sheria,kama anakutajia tatizo la period fanye mpango mwingine ili umalize haja yako. Mfano kama umezoea kula ubwabwa usiku kila siku na siku moja ubwabwa haupo ila kuna ugali kwa hiyo utalala na njaa?
Sasa hapo fafanua kidogo, itabidi nile nini??
Uncle, nimejibu kufatana na class yetu ya bayolojia...:A S-frusty2:kumbe! orait