nadhan toka nimeanza kutembelea threads za jukwaa hili cjawah ona mbulula ka ww; yan mpaka age hyo still hujaonja, sa utaonja nan arif? ila nckunange sana labda w n mkwez mashuhur
simjui mwanamke till now but im 24 years and graduate? but i some times tamani, i fear to seduce a girl since i hav no practical knowledge of love making.
Tatizo hapo bro unapiga sana punyeto kitu ambacho kitakuhatarishia maisha yako ya mahusiano maana ni kweli kama unagonga hiyo kitu amini kiganja chako kimechukua nafasi ya mwanamke maishani mwakio!
Miaka 24 ni umri mdogo sana wala si ajabu hata kidogo kama umeamua kujitunza mpaka uoe,hilo ni jambo jema Mie nina miaka 32 sijawahi kuwa na mahusiano yeyote ya kimwili na mwanamke chini ya jua na ninahisia kali sana tena labda zaidi hata ya hao wanaoshindwa kuvumilia.Ninataraji kuoa ndani ya miaka hii miwili ila namwomba Mungu anijalie mke anayeelewa nini maana ya ndoa takatifu.Na kamwe nimeapa sitatoka nje ya ndoa mpaka kufa hata kama nitakayempata atanisaliti au kunitendea ubaya w
unahofia kuipeleka sikioni? Natami upate ka lulu kakubandue lebo.
Ila hongera kwa kujitunza.
Wanawake wanaboa sana! Wala usitamani kudo nao
I see! Kumbe bado mnaexist?mi natafuta virgin man wa miaka 30..
Miaka 24 ni umri mdogo sana wala si ajabu hata kidogo kama umeamua kujitunza mpaka uoe,hilo ni jambo jema Mie nina miaka 32 sijawahi kuwa na mahusiano yeyote ya kimwili na mwanamke chini ya jua na ninahisia kali sana tena labda zaidi hata ya hao wanaoshindwa kuvumilia.Ninataraji kuoa ndani ya miaka hii miwili ila namwomba Mungu anijalie mke anayeelewa nini maana ya ndoa takatifu.Na kamwe nimeapa sitatoka nje ya ndoa mpaka kufa hata kama nitakayempata atanisaliti au kunitendea ubaya w
Mkuu kama kweli nikupe hongera zako!
Wanawake wanaboa sana! Wala usitamani kudo nao
Anza kutongoza ma house girls kwanza ili upate uzoefu