Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamseduce_anakuambia ana mchumba......unaendelea kumapproach_anakuambia atakufikiria,sijaona kosa na usichokielewa hapo mkuu,...suala ni ung'ang'anizi wako ndio uliompelekea kutoa majibu hayo_ambayo for sure ni ya kistaarabu sana,maake angekua mwingine angekupa za uso_lakn huyu binti hakutaka kukuumiza...wachumba wa watu ni sumu_achaBinti kaniacha njia panda,nilipomseduce aliniambia ana mchumba,nilipoendelea kumapproach anasema atanifikiria nimpe wiki moja . I m stuck kama ana mchumba ananifikiria ili iweje ? Au ndo danganya toto ?
sasa we ulimtongoza ili akukatae?Binti kaniacha njia panda,nilipomseduce aliniambia ana mchumba,nilipoendelea kumapproach anasema atanifikiria nimpe wiki moja . I m stuck kama ana mchumba ananifikiria ili iweje ? Au ndo danganya toto ?
Vuta subira kwan hapo kuna mawili inawezekana ana mchumba kweli au anakusikilizia kuona urserious wako,kwavile kakujibu kistarabu tuliza boli baada ya wiki potezea km siku mbili hiv ukiona kimya,ulizia jibu,likiwa lilelile basi achana naye na usimsumbue na uheshimu maamuzi yake,km ukikubaliwa uwe makin coz huyu anaonekana ni msichana aliyemakini ktk maamuzi yake.Binti kaniacha njia panda,nilipomseduce aliniambia ana mchumba,nilipoendelea kumapproach anasema atanifikiria nimpe wiki moja . I m stuck kama ana mchumba ananifikiria ili iweje ? Au ndo danganya toto ?
Binti kaniacha njia panda,nilipomseduce aliniambia ana mchumba,nilipoendelea kumapproach anasema atanifikiria nimpe wiki moja . I m stuck kama ana mchumba ananifikiria ili iweje ? Au ndo danganya toto ?
Women are EMOTIONAL not LOGICAL!hv hawa watu wanafikiriaga na manin maan ishakuwa kama ka 'fomula' hawawez kunyooka moja kwa moja