Nina mba, natafuta kazi

Nani kakwambia kingereza ni dili?, nchi ngapia Duniani wanatumia lugha zao na wako mbali? Acheni kutudanyanya, with my swahili i can still be the best

Unachokisema ni kweli kabisa,lakini umesahau kitu kimoja ambacho ni muhimu sana,huyu jamaa amekuwa trained kwa lugha ya kiingereza na kikubwa zaidi amepata alama za juu sana tena kutoka kwenye chuo kinachoaminika na bodi inayoaminika!vipi aandike kingereza cha chini kiasi hicho?hili ndilo linalowashangaza wengi mkuu!
 
How are u sure that he is real mba holder who looking for a job? Dont trust everything posted here.
 
That is why we do doubt!

mkuu kama huwezi kumsaidia kutafuta kazi si ungekaa kimya badala ya kupoteza nguvu zako kumponda.Are you real aware of the unemployment rate in Tz, for ur information he/ she is not alone
 
Nani kakwambia kingereza ni dili?, nchi ngapia Duniani wanatumia lugha zao na wako mbali? Acheni kutudanyanya, with my swahili i can still be the best

unaweza kuwa sahihi ila kwa tz hatujafikia hapo kwenye kutumia lugha yetu... Tatizo ninaloliona kwa huyu jamaa ni kuwa katoka familia bora, kalipiwa ada na wazazi wake toka kindagaten mpaka chuo na hii imemfanya asiwe mbunifu wa maisha yake.. Anawaza ajira tu! Duh kweli tunakoelekea ni mbali.. BA, CPA, MBA huna hata kibanda cha nyanya?.
 
mkuu kama huwezi kumsaidia kutafuta kazi si ungekaa kimya badala ya kupoteza nguvu zako kumponda.Are you real aware of the unemployment rate in Tz, for ur information he/ she is not alone

Mkuu you have misunderstood me!nakubaliana na wewe kuwa tatizo hili ni kuwa,lakini kabla ya kufika huko ni lazima tufanye uchambuzi yakinifu wa taarifa alizozitoa na baada ya hapo kama kutakuwa na namna yeyote ya kusaidiana binafsi nipo tayari kufanya hivyo!
 
[/COLOR]with this type of broken english its difficult. my advice rewrite your cv in good correct way by using gramatically consistence centences.shape both speaking and writing english. try to go through news papers on daily bases and try to apply accordingly.
nafikiri sasa hili limekuwa ni tatizo la graduates wengi. English is a problem and it may be among the factors which hinders you from getting employment
Sawa sawa kabisa, sasa nimeona jinsi wewe ulivyo na Kiingereza kibovu kuliko mtu yeyote humu JF. Ngoja nikupe shule maana umejileta na kujikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Hapo kwenye bold ulitakiwa kuandika gramatically consistent sentences. Pia, huwa hatuna speaking and writing englishbadala yake ni spoken and written English. Hakuna kitu kama daily bases bali ni daily basis. Mwisho ni makosa kusema among the factors which hinders na badala yake ulitakiwa kusema among the factors which hinder.
Sasa umeelewa wee mpuuzi na Kiingereza chako cha Mzumbe? Chezea UDSM wewe? Ndio maana ulikimbilia degree na diploma za Vodafasta baada ya kushindwa kupata enrollment kwenye Chuo Kikuu pekee Tanzania! Pambaf!
 
Kama uliaga Deloitte rudi tu ukapate exposure. CPA na MBA bila uzoefu hakuna kitu, niko na vijana wa aina yako "Consolidation" ni msamiati kwao
 
Kama uliaga Deloitte rudi tu ukapate exposure. CPA na MBA bila uzoefu hakuna kitu, niko na vijana wa aina yako "Consolidation" ni msamiati kwao

Inawezekana mkuu, kama wamesoma degree za Vodafasta kutoka vyuo vingine. Kwa UDSM product hata mwaka wa Tatu tu wanajua hicho unachokiita Msamiati.
 
Nani kakwambia kingereza ni dili?, nchi ngapia Duniani wanatumia lugha zao na wako mbali? Acheni kutudanyanya, with my swahili i can still be the best

Muyanga uko ahihi kabisa, nkama angelijua hilo basi naye angelileta kwa kiswahili. hebu tizama kwanini kaandika kwa kiingereza kibaya watu wanamsahihisha kwani maombi hayo yanatakiwa kwa kiingereza halafu wewe unakuwa na jazba. nafikiri tunatofautiana sana kimtazamo na kiuelewa ila busara ni kuangalia majibu unayojibu kwenye mada yanastahili kweli? usikurupuke ndugu wala hatupigani hapa au kupima nani mwenye majibu msumari. tunaangalia ushauri wenye busara tu na unao elimisha wengine.sote ni wajinga ila tunaelimishana kila siku kwa upole na upendo na hekima.
 
Sawa sawa kabisa, sasa nimeona jinsi wewe ulivyo na Kiingereza kibovu kuliko mtu yeyote humu JF. Ngoja nikupe shule maana umejileta na kujikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Hapo kwenye bold ulitakiwa kuandika gramatically consistent sentences. Pia, huwa hatuna speaking and writing englishbadala yake ni spoken and written English. Hakuna kitu kama daily bases bali ni daily basis. Mwisho ni makosa kusema among the factors which hinders na badala yake ulitakiwa kusema among the factors which hinder.
Sasa umeelewa wee mpuuzi na Kiingereza chako cha Mzumbe? Chezea UDSM wewe? Ndio maana ulikimbilia degree na diploma za Vodafasta baada ya kushindwa kupata enrollment kwenye Chuo Kikuu pekee Tanzania! Pambaf!

typing errors ni tofauti na broken english. kwa taarifa yako nenda kwa dr mwiteni na dr ndoloi wapelekee huo ujinga wako. ukidhani mimi niisoma ujinga wako nenda the so called CONAS angalia utakuta. sikusoma shule ya kufanyiwa assignment na secretary kama wewe na ndio maana uko jobless hadi leo wenzio tulifwatwa kuombwa kufanya kazi tena sehem ambazo leo kila mtu anaitupia macho. sikusoma dgree za kuhonga kama wewe. mp................. wewe
 
Sawa sawa kabisa, sasa nimeona jinsi wewe ulivyo na Kiingereza kibovu kuliko mtu yeyote humu JF. Ngoja nikupe shule maana umejileta na kujikaanga kwa mafuta yako mwenyewe. Hapo kwenye bold ulitakiwa kuandika gramatically consistent sentences. Pia, huwa hatuna speaking and writing englishbadala yake ni spoken and written English. Hakuna kitu kama daily bases bali ni daily basis. Mwisho ni makosa kusema among the factors which hinders na badala yake ulitakiwa kusema among the factors which hinder.
Sasa umeelewa wee mpuuzi na Kiingereza chako cha Mzumbe? Chezea UDSM wewe? Ndio maana ulikimbilia degree na diploma za Vodafasta baada ya kushindwa kupata enrollment kwenye Chuo Kikuu pekee Tanzania! Pambaf!

kama si kwenda kuny....................... ningepewa BAN kwa ajili yako. sinaga kawaida ya kumtusi mtu ila sipend kashfa tena kutoka kwa mtoto mdogo kama wewe. Ambaye naweza kukuzaa huku nikiwanasoma gazeti.

 
kama si kwenda kuny....................... ningepewa BAN kwa ajili yako. sinaga kawaida ya kumtusi mtu ila sipend kashfa tena kutoka kwa mtoto mdogo kama wewe. Ambaye naweza kukuzaa huku nikiwanasoma gazeti.

mh kazi ipo hapa
 
Inawezekana mkuu, kama wamesoma degree za Vodafasta kutoka vyuo vingine. Kwa UDSM product hata mwaka wa Tatu tu wanajua hicho unachokiita Msamiati.

Kwa hali ilivyo mkuu inaonekana kusoma kwako UDSM hakujasaidia lolote kwani kawa sasa upo redundant.Achani na UDSM against Mzumbe itatupotezea muda mwingi!let us concentrate on the subject matter that we have!
 
kumbe ni katoto kadogo ka hapo mlimani, haka kanabahati kweli. nitamharibia siku atulie kabisaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom