Nina maumbile madogo mpaka najishangaa!

Mkuu Ruhazwe JR umeshasema yote! Mtoa mada ukifuata aliyosema mdau hapa, sidhani kama majungu yataendelea. Vilevile, hali hii inaweza ikaondoa hata mng'ao ulionao na ukaonekana kama maisha yamekuchapa. Tuliza akili, usifikirie maneno ya watu.
 
Au sometimes kama unakula mavimbwanga yose na hunenepi itakua UNA ROHO MBAYA!
Jichunguze
miili isiyo na shukrani sometyms sababu ni hiyo.
 
:mwaaah::whistle::madgrin::angry::A S thumbs_down::clap2::first:...
 
tatizo mke wangu analaumiwa sana na ndugu zangu, eti hanipi chakula na yeye hana amani kabisa

Waambie hao ndugu zako wakupe wao chakula cha kunenepesha. Kaka dunia ya kufuatanafatana mbona imekwisha unakubali ndugu zako wakuingilie kwenye mabinafsi yako? Kuna siku watakuambia "mbona unaonekana kama una nyeg* mkeo akupi sotojo nn? Utasemaje?
 
Nimecheka hii sredi lol

Kwani ukivua mbavu zinahesabika?

Ila watu wembamba huwa wamejazia mshedede, huwa hadi una hips:glasses-nerdy:

Kule kwetu kuna imani, wembamba ulopitiliza ni dalili ya ukaanga sumu.
 
Hata sijui sababu ni nini, maana kama ni kula nakula vizuri tu na mke wangu anajitahidi kunipikia mapochopocho mpaka basi lakini mwili wangu hauridhiki sijui kwanini, yaani nimekuwa na maumbile madogo wala sinenepi kabisaa mpaka ndugu zangu wanahisi kwamba huenda mke wangu hanipi chakula na ndio maana sinenepi kumbe binti wa watu anajitahidi kukalangiza lakini mwili wangu huu hauna shukurani.

Hebu nisaidieani, sababu hasa ya kukosa kwangu siha ni nini?

kula sana si kuwa mnene, unaweza kuwa ndio mwili wako wa asili, huridhiki, kuna kitu kinakusonga katika akili yako
 
Tegelezeni labda pia huridhiki, we ni mtu wa mang'uniko tu, kama ulivyo hapa! kwa style hiyo hutanenepa ng'o!
 
Last edited by a moderator:
Ndugu waswahili kweli mzigo! Wasikunenepeshe wao miaka 25+ waliyokuwa na wewe wakamlaumu mama wa watu kwa miaka michache aliyokaa na wewe! Mweh! Waambie nduguzo waache majungu
tatizo mke wangu analaumiwa sana na ndugu zangu, eti hanipi chakula na yeye hana amani kabisa
 
Ila wembamba mwingine, afadhali tubakie na changamoto za mijidiet mwenzangu! Raha ya mfupa mnofu,lol
Unene ni ugonjwa. Shukuru MUNGU u mwembamba wanene tunahangaika Na mijidiet eti tupungue, wengine mwautafuta, nyeee, MUNGU Kazi anayo.
 
tatizo mke wangu analaumiwa sana na ndugu zangu, eti hanipi chakula na yeye hana amani kabisa


Hao ndugu zako mafal*,kwani wewe umekuwa Mwembamba baada ya Kukaa na Mkeo? Kama unataka Kunenepa Kula sana vyakula vya Kukaanga na vyenye Mafuta Mengi,Kwa mfano,Anza Kula nyama ya Nguruwe iliyonona angalau nusu Kilo kila siku,Lala Mapema,Usifanye Mazoezi wala Kutembea Kwa Mguu!! Fanya hivi kwa miezi mitatu mfululizo halafu uje hapa kutupa Mrejesho!!
Haya Log off,nenda kale kwanza,Usisahau Kula Sato/Sangara pia!!
 
Hata sijui sababu ni nini, maana kama ni kula nakula vizuri tu na mke wangu anajitahidi kunipikia mapochopocho mpaka basi lakini mwili wangu hauridhiki sijui kwanini, yaani nimekuwa na maumbile madogo wala sinenepi kabisaa mpaka ndugu zangu wanahisi kwamba huenda mke wangu hanipi chakula na ndio maana sinenepi kumbe binti wa watu anajitahidi kukalangiza lakini mwili wangu huu hauna shukurani.

Hebu nisaidieani, sababu hasa ya kukosa kwangu siha ni nini?

Kama kuwa na mwili mdogo hakuambatani na magonjwa yo yote yale, basi afya yako ni nzuri wewe ridhika na mwili wako. Huo ndio mwili uliopewa na Mungu, asiombe kuwa na mwili wa watu wengine yaani mwili wa kujitengenezea. Mimi mwenzio kila siku asubuhi nakunywa glasi 4 za maji achilia mbali kutafuna vitunguu swaum ili ni-mentain figure yagu !!!
 
Shukuru Mungu kwa alivyo kuumba kwani kuna wengine hawakukamilika kama wewe afadhali wewe mwemba wengine wako nusu.
 
Hata sijui sababu ni nini, maana kama ni kula nakula vizuri tu na mke wangu anajitahidi kunipikia mapochopocho mpaka basi lakini mwili wangu hauridhiki sijui kwanini, yaani nimekuwa na maumbile madogo wala sinenepi kabisaa mpaka ndugu zangu wanahisi kwamba huenda mke wangu hanipi chakula na ndio maana sinenepi kumbe binti wa watu anajitahidi kukalangiza lakini mwili wangu huu hauna shukurani.

Hebu nisaidieani, sababu hasa ya kukosa kwangu siha ni nini?

Aaah umenikata stimu, me nimeingia humu ndani nikijua unazungumzia kibamia chako kiduchu ili nikupe ushauri, kama ni hivo then sina ushauri wa kukupa asee:confused2:
 
Nimecheka hii sredi lol

Kwani ukivua mbavu zinahesabika?

Ila watu wembamba huwa wamejazia mshedede, huwa hadi una hips:glasses-nerdy:

Kule kwetu kuna imani, wembamba ulopitiliza ni dalili ya ukaanga sumu.
Kongosho, hiyo imani yenu nayo imepitiliza kama wembamba unaozungumziwa hapa

But frankly speaking huu wembamba wake ni kiasi gani?

Simply afanye BMI, then aone kama ana utapiamlo aende kumwona daktari huenda ana tatizo jingine, huo wembamba ukawa dalili tu.
 
Last edited by a moderator:
Nimecheka hii sredi lol

Kwani ukivua mbavu zinahesabika?

Ila watu wembamba huwa wamejazia mshedede, huwa hadi una hips:glasses-nerdy:

Kule kwetu kuna imani, wembamba ulopitiliza ni dalili ya ukaanga sumu.

Tena kuna imani wenye mishedede mikubwa, ndiyo huwafanya wakose miili, shedede linamnyonya damu, afu nyama kibao inakimbilia hukohuko mshededeni. Khaa!
 
unawapangaji tumboni wewe, wape notisi ya siku mbili wahame, maana ukiona hivyo kodi ya pango hawalipi hao.
 
Embu jiulize mwenyewe, relatively unaroho nzuri au ? Mambo ya visasi vipi? Je unalala vizuri na kupata usingizi au ndoo mtu wa kulala kwa mang'amung'amu? Be honest to yourself. Wazazi wako kama wanachemsha hivi? Kwani ulikuwa bonge kabla hujaoa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom