Nina Masters ya Water Engineering kazi inakuwaje hapa?

TZ employment iko chini sana, hivo faham kua you enter a saturated market. Ila ukitafuta vizuri, unaweza kupata, still. Here is my little advice:
  • Focus katika aina fulani ya kazi unayo taka kufanya. Huwezi kua wazi kwa kazi zote kwa pamoja. Ukisoma mazingira ya sasa ya TZ utaona Mining Companie ndio ziko juu. Sababu nyingi zina dams (tailing Dams au water dam for raw water or waste) basi focus on those (this is just one of the area you can focus on, zingine zikiwa CBO, serikali, NGO au hata kujiajiri)
  • Nenda LinkedIn, update your profile, add mining recruiters and HR managers from TZ mining companies, hasa zile ambazo zina expand, au zipo construction phase. Hata zingine zinaweza ku-recruit pia.
  • Print few business card that have your qualification and phone number, spread them around. tafuta geologists, surveyors, mining engineers ambao tayari wako kazini na waeleze kua unatafuta kazi. Sometimes hawa watu wanauwezo hata kuliko HR katika kuvuta watu kazini.
  • Of course, kama unataka kufanya kazi na serikali unaweza kufata same steps, but the place to meet the key people will change. Just make this job hunting your permanent job, until you get there. spend 8 hours on it daily, 5 times a week, iwe kwa kusoma, kwa kuandika, kwa kuzungumzia, kwa kukumbushia au kwa kufatilia.
Good luck!

well said Roullete...atafute those people who already employed, influence yao ni kubwa sana, Halafu hiyo field ni nzuri akiwa fighter nzuri hawezi kusota kamwe.
 
Kazi ziko nyingi sana after decentralization of NUWA kila mkoa una independent water authority they are autonomous and got separate board

What did u take for your undergrad ? Civil, mechanica? Chemical, electrical ,mining ? Etc etc

Water resource ilikuwa inatolewa FoE not sure kama bado wanatoa

Hi madam Engg...huyu jamaa angesema pia na B.tech yake ingesaidia pia, hii water environment ni nzuri sana, mi mwenyewe ni Civ Engg bt I wish nifanye hii field ya water au environmental for PG...na bado natafuta huo mchongo.
 
Jf naipenda sana coz nothing has got no solution/answer. mimi nategemea kuanza my masters in water resources management this year. nimeplan nikimaliza nije nianzishe ka-NGO itakayo jihusisha na water supply in communities zenye shida ya maji... so i dont think is wise kumdiscourage mtu, tupeni constructive ideas ndugu zenu
 
Jf naipenda sana coz nothing has got no solution/answer. mimi nategemea kuanza my masters in water resources management this year. nimeplan nikimaliza nije nianzishe ka-NGO itakayo jihusisha na water supply in communities zenye shida ya maji... so i dont think is wise kumdiscourage mtu, tupeni constructive ideas ndugu zenu
all the best ..
 
kazi utapata tu kaka, lakini ukiweza kujiajiri italipa zaidi. karibu nyanda za juu kusini, tuna project nyingi huku za umwagiliaji na hatujasoma mambo hayo na bado Mapito yetu yananyooka vilevile!
 
hivi wewe na akili zako unapoteza muda kusoma mambo ya maji? hivi mnashauriwaga na nani wakati wa kuchagua kozi?au ndo kuenda tu ulaya hata kama unaenda kusoma kozi ya mapishi? hilo kozi utakaa milele hupati kazi ...yaani unasoma mambo ya kuchimba visima na ufundi bomba?


yaani mkuu samahani sana ila ukweli nimekudharau na mawazo yako yalivyo mabovu kichwani mwako ulitaka asome nini, huwezi amini shemeji yangu alisoma diploma ya mapishi pale arusha baadae wakampeleka nje kusoma kakaa huko mpka master ya mambo ya mapishi alirudi bongo kapata kazi hoteli ya utalii arusha sasa kaenda zake ujerumani ni mpishi mkuu msaidizi katika hotel moja IBIS frankfurt German analisha ndugu zake kashapata maendeleo ya kutosha kwake leo hii utamuita mjinga?? jipange vizuri mkuu usimdharau eti kisa kasoma mambo ya maji unajua kuwa tuna watalaam wachache sana wa maji hapa nchini?? na tunawahitaji sana. ulichonacho kishikilie na kamwe cha mwenzako kiheshimu.
 
Back
Top Bottom