platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,364
- 11,150
Mtoko wenyewe wa kawaida lakini hayo maandalizi ya huyu bi mdada balaa. Kuanzia saa 6 mpaka sasa anajiandaa. Ingekuwa ni mara ya kwanza ningesema ni sawa..............Lakini ni mtu wangu yapata mwezi sasa.
Hapa nilipo nilimaliza shughuli zangu tokea saa 5 kwa ahadi ya kukutana mida ya saa 6 ili tupige lunch kabisa na baadaye jioni tushangaeshangae maghorofa mjini.......akapiga simu akasema yuko bado salon anajiweka sawa kwa hiyo hata hiyo lunch tutapiga saa 8, lakini sasa inaelekea saa 10 halafu anasema "usijali dear ndio nimemaliza nakuja.....khaa".
Nimechoka na nimemwambia mtoko umefutwa ili ajifunze......maana hii ni mara ya pili anaunguza muda wangu! Sijataka kujua reaction yake.
Sijui niko sahihi au hasira tuu!
Hapa nilipo nilimaliza shughuli zangu tokea saa 5 kwa ahadi ya kukutana mida ya saa 6 ili tupige lunch kabisa na baadaye jioni tushangaeshangae maghorofa mjini.......akapiga simu akasema yuko bado salon anajiweka sawa kwa hiyo hata hiyo lunch tutapiga saa 8, lakini sasa inaelekea saa 10 halafu anasema "usijali dear ndio nimemaliza nakuja.....khaa".
Nimechoka na nimemwambia mtoko umefutwa ili ajifunze......maana hii ni mara ya pili anaunguza muda wangu! Sijataka kujua reaction yake.
Sijui niko sahihi au hasira tuu!