Ballot
Member
- Jan 4, 2012
- 39
- 12
naombeni msaada nina jipu kubwa kwenye paja langu la kulia'kwa kweli juzi usiku sikulala homa kali na joto kali la mwili'nimeenda kumwona doktari akanipa antbiotic na asprin na sasa hivi
Naendelea vizuri''naombeni mwenye kujua nini kinasababisha majipu anisaidie'nahisi labda kwa vile nimeacha pombe mwezi mmoja sasa??sielewi kinachosababisha majipu'naombeni msaada
Naendelea vizuri''naombeni mwenye kujua nini kinasababisha majipu anisaidie'nahisi labda kwa vile nimeacha pombe mwezi mmoja sasa??sielewi kinachosababisha majipu'naombeni msaada