Ze General
JF-Expert Member
- May 10, 2014
- 1,509
- 1,246
wewe ni shemale; utakuwa na dushe na sehem ya hajakubwa, wala huna uke wewe....
Changamkia fursa hiyo ha ha haLoooooooooh!!!! Pole sana kaka/dada yangu! Uliwahi kuonana na doctor?
Ha ha si vizuri .. Ila si unajua mla huliwaKudadadeki!!!!!!, siku mizuka ya kiume ikikupanda unigeukie
Huyu hapana, ikifika usiku wa manane anaweza kunigeuza!Changamkia fursa hiyo ha ha ha
Ha ha haHuyu hapana, ikifika usiku wa manane anaweza kunigeuza!
Muanzisha mada ni muongo. Na kama ni mkweli basi atakuwa ni binadamu wa kwanza ambaye uke na uume vyote kufanya kazi kwa pamoja. Hii inawezekana kwa viumbe wengine tu tofauti na binadamu. Binadamu wenye sehemu mbili za uzazi wanakuwa na sehemu moja tu inafanya kazi na mara nyingi ni ya kike. Sehemu ya kiume inakuwa ndogo sana eneo la clitoris na haifanyi kazi kwa hiyo ni sawa tu na mwanamke mwenye clitoris kubwa isipokuwa ya hermaprodite inakuwa na umbile la kiume. Na kuna wengine umbile la pili linakuwa ndani kwa ndani halijitokezi nje. Mf. Unaweza kuwa na uume lakini una ovaries au na umbile la kike lakini una testicles ambazo hazijajitokeza nje kama issue ya Semenya.
I stand to be corrected.
Mh aisee,hongera kuwa na ujasiri huoIngia pm mama alafu unitafute haraka iwezekanavyo
Ikiwa unajua aitha wewe au mwingne yoyote yule,ni ipi sababu ya msingi hasa ya kitaalamu/kisayansi inayopelekea mtu kuzaliwa na jinsia mbili? Na zote kufanya kazi? Au moja?,what is going wrong?,na tatizo hili linaweza kuwa la kurithi kutoka kizazi kimoja kwenda kingine?Muanzisha mada ni muongo. Na kama ni mkweli basi atakuwa ni binadamu wa kwanza ambaye uke na uume vyote kufanya kazi kwa pamoja. Hii inawezekana kwa viumbe wengine tu tofauti na binadamu. Binadamu wenye sehemu mbili za uzazi wanakuwa na sehemu moja tu inafanya kazi na mara nyingi ni ya kike. Sehemu ya kiume inakuwa ndogo sana eneo la clitoris na haifanyi kazi kwa hiyo ni sawa tu na mwanamke mwenye clitoris kubwa isipokuwa ya hermaprodite inakuwa na umbile la kiume. Na kuna wengine umbile la pili linakuwa ndani kwa ndani halijitokezi nje. Mf. Unaweza kuwa na uume lakini una ovaries au na umbile la kike lakini una testicles ambazo hazijajitokeza nje kama issue ya Semenya.
I stand to be corrected.
Wewe wataka unayemtaka awe Na ipi..? Na aitumie ipi koz isije ikawa at last Yale mambo ya "IF YOU DO ME? I DO YOU" nami nipo Arusha but we need a real talk sipo radhi kufanyiwa mambo ya kishenzi?
Mkuu hayo ni mambo ya kitaalam sana. Mimi naweza sema tu ni mkanganyiko wa homoni za maumbile. Ukitaka kupata zaidi google "hermaphrodite people."Ikiwa unajua aitha wewe au mwingne yoyote yule,ni ipi sababu ya msingi hasa ya kitaalamu/kisayansi inayopelekea mtu kuzaliwa na jinsia mbili? Na zote kufanya kazi? Au moja?,what is going wrong?,na tatizo hili linaweza kuwa la kurithi kutoka kizazi kimoja kwenda kingine?
Whats the causal factor behind it?
Unatukana JF? Unaweza kuta natukanwa na mtoto Wangu wa kamboDuuuuh Mkuu umekariri? Au porn site zimekuthiri kichwa ukisikia harmaphrodait basi unarefer porn za shimale? Don't be like your user name