Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,587
- 9,324
- Thread starter
- #21
Aaaaaaah mkuu, ina maana ukiwa na hamu ya kitu ndiyo unakuwa referred psychiatric ward mazee? Mbona kawaida tu, nitafutie kichencheda kimoja chenye ujasiri. Akija mke wangu kimdunde aondoke ili nikambembeleze!Nafikiri utakuwa unaumwa. Nenda pale Muhimbili kuna kitengo kinaitwa Psychiatry watatatua tatizo lako. Kila la kheri.