Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
- Thread starter
- #41
unaniangusha...iweke uone nitakavyoivunja....hiyo hapoooooooooooo...........
unaniangusha...iweke uone nitakavyoivunja....hiyo hapoooooooooooo...........
unaniangusha...iweke uone nitakavyoivunja....
hebu nianzishie halaf nianze inavotakiwa.........
Believe me you SIJAWAHI/SIJUI kutukana....
sasa naanza rasmi...wanaJF wote pamoja na mod nanihiu zenu ndogo......!!!!!!
nimetukana mno....naona mods wameniogopa kunipa ban!!!
Nimeshajifunza tusi... (Ni la JF), Buji Buji kabisa wewe!!! lol
nanihiu ndo nini hebu sema jina kamili nireport post ukapumzike kwa amani.
yaani umri wote huelewi ninaposema naniliu?!!!!
Believe me you SIJAWAHI/SIJUI kutukana....
umri wote umri gani?
yaani nakuona kama umekula chumvi magunia kibao....sasa sidhani kama hujui maana ya naniliu.....
Aseeee!!
Duh! Hongera, ngoja nikufundishe sasa...sema pambaf zangu!
haya dada....yaani toka umezaliwa ukijumlisha hivyo vijiko vidogvidogo utapata magunia.....nitawezaje kula magunia ya chumvi? robo kijiko tu kinanishinda.