Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
Ndo nini sasa kukumbushana malikizo?
hahahaaa nilijua ukiona hiyo utachemka
Ndo nini sasa kukumbushana malikizo?
Kamata binamu tupa kule..... kamata BW weka hapa! Vrrruuuuuuuummmmmmmmmm!!hahahaaa nilijua ukiona hiyo utachemka
karibu kongoro grillmkipata seheumu ya kula Mbusi mnishitue ...
Kamata binamu tupa kule..... kamata BW weka hapa! Vrrruuuuuuuummmmmmmmmm!!
Vrrrrrruuuuuuuuuuummmmmmmm! Kwa mrombooooooo!!!vruuuuuuuu kwenye mbuzi......mbuzi leo wapi vila park
Njoo Green view Hydom mkuu.. mbuzi choma na bia huku ukisafisha machio na totoz za kizungu
Bujubuji huko kwa Mzambia ndio wapi!
Hebu semeni wapi kuna nyama choma nzuri tukutano huko? Nina hamu sana leo.
Hebu semeni wapi kuna nyama choma nzuri tukutano huko? Nina hamu sana leo.
makaburini karibu
Vrrrrrruuuuuuuuuuummmmmmmm! Kwa mrombooooooo!!!
Nafahamu upo Sinza na upo single kwa siku nyingi.
sasa unaonaje uje SAvei karibu na Mlimani City... usijali njoo mwenyewe na gari lako litakuwa salama. ntakurudisha home baada ya kumaliza hamu ... ya nyama.
Kesho twende kigamboni tukamsalimie ............. na ......
Nitarudi home Makongo kesho jioni
Huogpi gout...mkipata seheumu ya kula Mbusi mnishitue ...