gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
tuko na videnti kibao. Wanatuwekea tu kiwingu hapa.
Tumuulize Lizzy,lini matokeo yantegemewa kutoka...
Tunakaribia hata kuvunjiana heshima jamani..
tuko na videnti kibao. Wanatuwekea tu kiwingu hapa.
Jamaa kaingia mitini!
Nashangaa si akamuulize Nyani Ngabu ile bann aliiomba au?Chezea JF yeye....
Chezea JF yeye....
M PM Paw, umweleze atakusadia right away, kuna mtu aliwahi kuomba ban humu akidhani ni utani na akalimwa ban kikweli kweli, so be careful on what you wish.
Matokeo ya form four bado tu?
eti wakusoma! Wakusoma wapi ww umekaa kishamba shamba! Mtu mzima unataka ban unaomba badala ya kuvunja tu mashart ya jf eti unataka ligi! Mpuuuzi kabisa ww **** wa kutupwa. Aseeeee! Huwez mpaka uwezeshwe kwa ligi eh? Mwangalie kule! Fyooooooo! Bladfacken.
Bann ndio nini au nani?
Kwa yeyote anayejiamini naomba aanzishe ligi ya matusi ya matusi na mimi hapa, tuone bann linakujaje.
keshakula ban huyo!
vitumbua vya hapo kaloleni!
Kwa yeyote anayejiamini naomba aanzishe ligi ya matusi ya matusi na mimi hapa, tuone bann linakujaje.