- Thread starter
- #21
Nashukuru kwa ushauri mkuu, niafaufanyia kazi mara mojaNaona anaota ndoto za mchana,elimu haihitaji haraka kiasi hicho,ni lazima apitie diploma kisha degree,anaweza kuunga degree kwa baadhi ya vyuo kwa kupitia mature age entry,ila kwa masters hiyo ni level nyingine kabisa,wala asipoteze application fee yake