Nin umuhimu wa karafuu mwilini.

Madokta wapo wengi ngoja tuwasubiri, naimani mzizimkavu ni mmoja wapo atakuja muda si mrefu.
 
Mdomoni karafuu yaweza kutumika kama mild antiseptic na deodoriser. Tumboni kama ni kidogo haina madhara isipokuwa kwenye mafigo. Kama una mazoea ya kila siku waweza kupata matatizo ya vijiwe kwenye mafigo.
 
matumizi ya kila siku kwa kiwango gani? hata kama ni kidogo tu yaweza kuleta madhara?
 
Back
Top Bottom