Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wapendwa wa kuu wa kaya hi,nawasalimu...week kama mbili hivi nilipata uwamisho wa kazi kwenda tanga,ikwa vile nilikuwa bado sijapata makazi nilifikia kwa uncle wangu,na kweli nilikaribiswa vizuri sana na uncle na anti,tatizo lilianza kama wiki moja kupita,siku mmoja jumapili nikwa nimejipumzisha sebuleni nikiwa na angalia tv anti alikuja tukawa tumejumuika pamoja,angalizo anti hatuja pishana sana umri na ni sister du,mtoto wa mjini,mikao aliokuwa anakaa pale sebuleni na kinguo alicho kivya kwa kweli kama rijali unaweza kutegeka,basi nikaone nitoke pale kuepusha shari nika aga naenda chumbani kupumzika, baada kama ya dakika kama 30 nilisikia mlango wa chumbani kwangu ukifunguliwa kuhamaki alikuwa anti na kanga moja,alifunga mlango na kudondosha kanga na kubaki kama alivyo zaliwa akielekea kitandani nilipo,nilipigwa na butwaa,katika mvutano wa hapa na pale niliweza kuponyoka na kutoka chumbani nikamuacha chumbani kwangu,niliamua kuondoka kabisa hapo nyumbani nikaenda matembezi...nikiwa huko alinitumia msg ''..........nakupenda sana tokea siku nilipo kuona,na mjomba ako anirizishi ninavyo taka,naomba msaada wako"kikweli nilichanganyikiwa na tokea siku hiyo na mkwepa kwepa ila naona aibu tukiwa wote na uncle na yeye.je nimwambie uncle maana bado ananitumia msg za kunitaka kimapenzi
uncle wenyewe ni mtu wa kusafiri sanaa kwa mwezi anaweza kuwa home wiki moja...na pia yeye ni kichche mbayaaa kabisa ananyumba ndogo za kutosha naona kama anti kajua hilokama vp tembea hapo,kumwambia uncle ni hatari jomba,au km unaona namna gani basi mchane laiv,km haiwezekani binjuka kimaster.
Unataka kuvunja ndoa za watu wewe
na wakiachana story itakugeuka
itajulikana ulitembea nae
wewe si uhame tu hapo?
mbona ishu ndogo..how old are you?
halafu khanga moja ikidondoka hata chupi hakuna?au?
Unataka kuvunja ndoa za watu wewe
na wakiachana story itakugeuka
itajulikana ulitembea nae
wewe si uhame tu hapo?
mbona ishu ndogo..how old are you?
halafu khanga moja ikidondoka hata chupi hakuna?au?
kajileta mwenyewe wewe kamatia tuu mwanawane. asije kukuona wee nae sio kidume. ili ujanja ni kuto mpa dozi kamili ili akuone nawe hufai huku wewe ukiwa tayari ulishamega tunda lake.
mbona unamdanganya mwenzio, fikiria wewe mkeo ndo anafanya hivyo?
eee kumbe unapenda kuchungulia eee mmh.