Mwita25 JF-Expert Member Apr 15, 2011 3,831 1,164 Oct 28, 2011 #1 Kuna siri kubwa sana nataka niitoe lakini nahofia usalama wangu. Vipi niitoe?
Wa Ndima JF-Expert Member Aug 13, 2010 1,526 323 Oct 28, 2011 #4 usiturushe roho sie..... wamuogopa nani hapa?
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Oct 28, 2011 #6 huna lolote .kama unayo toa kama huna piga kimya
OTIS JF-Expert Member Sep 7, 2011 2,251 827 Oct 28, 2011 #7 Unajua mafumbo. Wakaa mombasa weye. OTIS.
Ndechumia JF-Expert Member Jul 15, 2011 1,103 418 Oct 28, 2011 #8 mi nakushaur usiitoe manake ni aibu!!!
B ben genious Senior Member Jun 4, 2011 176 23 Oct 28, 2011 #9 subiri mkutano wenu wa kuvuana magamba part 3 uanze ndio ukatoe hiyo siri yako huko kwa wanafiki wenzako na wala sio hapa, usitoe
subiri mkutano wenu wa kuvuana magamba part 3 uanze ndio ukatoe hiyo siri yako huko kwa wanafiki wenzako na wala sio hapa, usitoe
O Othman Kh Rajab Member Jul 27, 2011 29 8 Oct 28, 2011 #10 Imwage/usiimwage! Itamwagika tu! Refar hata Jairo ile "maneno" aliamini ni siri! Kumbe GAZETI !
Mwita25 JF-Expert Member Apr 15, 2011 3,831 1,164 Oct 28, 2011 Thread starter #11 Wewe Mod uliyeileta hii thread huku naomba uifute tu. Asante kwa uelewa wako!
Mwita25 JF-Expert Member Apr 15, 2011 3,831 1,164 Oct 28, 2011 Thread starter #14 Wewe mod uliyehamisha hii thread naomba uifute tu
mwaJ JF-Expert Member Sep 27, 2007 4,074 2,947 Oct 28, 2011 #16 kama unahofia usalama wako unauliza nini sasa?
D Domo Zege JF-Expert Member Sep 18, 2010 692 228 Oct 28, 2011 #17 Hakuna maswali kama hayo hapa JF kama unataarifa itoe
Tutafika JF-Expert Member Nov 4, 2009 1,443 631 Oct 28, 2011 #19 Huna siri yenye hadhi ya kumwagwa JF, labda ya chumbani kwako ukamwage kule kwenye udaku, ila jihadhari mkeo akijua usalama wako utakua mashakani
Huna siri yenye hadhi ya kumwagwa JF, labda ya chumbani kwako ukamwage kule kwenye udaku, ila jihadhari mkeo akijua usalama wako utakua mashakani
figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,492 54,888 Oct 28, 2011 #20 Mwita25 said: Wewe Mod uliyeileta hii thread huku naomba uifute tu. Asante kwa uelewa wako! Click to expand... kwani mkuu uliiweka wapi?kwa hiyo hiyo siri umeahilisha?ninong'oneze mimi mlicho mfanya zitto.ntumie pm.mia
Mwita25 said: Wewe Mod uliyeileta hii thread huku naomba uifute tu. Asante kwa uelewa wako! Click to expand... kwani mkuu uliiweka wapi?kwa hiyo hiyo siri umeahilisha?ninong'oneze mimi mlicho mfanya zitto.ntumie pm.mia