Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,483
- 14,352
- Thread starter
- #41
Manyanza acha kulea kidonda hicho.....kwani kuna ubaya gani ukimwambia tu kuwa unashukuru kwa picha ila huzifurahii hivyo utafurahi sana kama atakuwa anakusalimu bila kukutumia hizo picha......mwambie bana kama kweli hufurahii.....huko kunyamaza ndiko kunafanya azidi kukutumia manake anahisi labda zinakufurahisha!
asante kwa kwa ushauri ngoja nimlipukie tu sweetlady
Last edited by a moderator: