Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,385
- 14,105
Wakuu... habari zenu
kuna msichana mmoja hivi kwa nyakati tofauti alishawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na washikaji zangu wa karibu na aliachana nao kwa sababu ambazo hakuna msichana anayeweza kuzivumiliana...
mshikaji wa kwanza aliachana nae kwa sababu mshikaji alikuwa ni mtu wa misheni town, ana tabia za udalali na kudhulumu watu vitu vyao nikawamo mimi alishawahi kunidhulumu pesa zangu na Ipod yangu, hivyo msichana akaamua kuachana na mshikaji...
mshikaji wa pili alikua ni mtu wa totozi sana kwa hiyo demu uvumilivu ukamshinda wakaachana na mshikaji...
sasa cha kushangaza huyu msichana ameanzisha tabia moja ya ajabu yaani anakua anajipiga picha halafu anazituma kwenye email yangu au kwenye application ya WhatsApp kwenye simu tangu kwa siku anaweza kutuma hata picha tano kwa njia ya WhatsApp tena picha ambazo ni tata, ameshaanza kunitumia picha mapaja yapo nje kabisa, tumbo lipo wazi na wakati mwingine anapiga picha akiwa amevaa bikini tu na bra.... halafu anaandika maneno machache kama mambo vipi? hello, how is it? good night... anandika maneno ya kawaida tu lakini hizo picha anazonitumia ni utata mtupu.... na mimi sifurahii haa kidogo....
nifanyeje? na sitaki kumtolea maneno ya maudhi au kumtukana naomba mnipe mbinu za kumkwepa kiustaarabu
Pamoja wakuu...
kuna msichana mmoja hivi kwa nyakati tofauti alishawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na washikaji zangu wa karibu na aliachana nao kwa sababu ambazo hakuna msichana anayeweza kuzivumiliana...
mshikaji wa kwanza aliachana nae kwa sababu mshikaji alikuwa ni mtu wa misheni town, ana tabia za udalali na kudhulumu watu vitu vyao nikawamo mimi alishawahi kunidhulumu pesa zangu na Ipod yangu, hivyo msichana akaamua kuachana na mshikaji...
mshikaji wa pili alikua ni mtu wa totozi sana kwa hiyo demu uvumilivu ukamshinda wakaachana na mshikaji...
sasa cha kushangaza huyu msichana ameanzisha tabia moja ya ajabu yaani anakua anajipiga picha halafu anazituma kwenye email yangu au kwenye application ya WhatsApp kwenye simu tangu kwa siku anaweza kutuma hata picha tano kwa njia ya WhatsApp tena picha ambazo ni tata, ameshaanza kunitumia picha mapaja yapo nje kabisa, tumbo lipo wazi na wakati mwingine anapiga picha akiwa amevaa bikini tu na bra.... halafu anaandika maneno machache kama mambo vipi? hello, how is it? good night... anandika maneno ya kawaida tu lakini hizo picha anazonitumia ni utata mtupu.... na mimi sifurahii haa kidogo....
nifanyeje? na sitaki kumtolea maneno ya maudhi au kumtukana naomba mnipe mbinu za kumkwepa kiustaarabu
Pamoja wakuu...