hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
simple like fighting with a drunkard. Ukimwona tu mwambie, "ee bibie, fanya uzazi huo basi ........" kwi kwi kwi kwi.
labda huyo anaependwa naye awe sam taimz yes sam taimz no ......
simple like fighting with a drunkard. Ukimwona tu mwambie, "ee bibie, fanya uzazi huo basi ........" kwi kwi kwi kwi.
Si unajua tena mambo ya kuvuta kasi! nataka kwenda kwa babu! nikirusha tu ndoana basi kitu na boxi! lol!!:ballchain:
Kaziniliyonyo ni kuwa kamanda ndo maana nimeomba ushauri nyie wataalam najua mnamaliza wenyewe.Mtazamaji kama lilivyo jina lako kama umeshindwa jinsi ya kuanza ni bora ulitumie jina lako kwa kuendelea kutazama tu! Jina mtazamaji leo unataka uaze kuchakachua huoni kazi uliyonayo ni kubwa? baki kama Mtazamaji tu
hahaahhah lol all the best ..
babu kweli mtaalum labda anaweza akupe maneno ya busara lol
siku ukitoa hiyo ndoano ndani ya maji utujulishe...lol
Yap and they said Subira yavuuuuta kheeriii!:A S-coffee:
haya muheshimiwa :yo:
angalia asije akawa shark akakuvuta wewe majini na ndoano akaivunja...
take care
Watalaam wa mahusiano wa kiume na kike
Siku za karibuni nimeanza kuvtiwa "kihisia" na member 1ja wa kike.
Tatizo langu ni domo zege sijui nianzeje .lakini kila nikiona comment yake roho inasuuzika.teh teh teh . KIla nikiona Avatar Uwiiiiiii bababe udenda ndo unanitoka kabisa
Imetokea tu ghafla sijui umbo lake ,hobbies zake dini yake wala kabila lake.
Kibaya au kizuri zaidi naogopa kumwambia sababu sipendi na nachukia kukataliwa. Naweza kuugua mwezi mzima au nikakimbia hata hapa JF .
Nimuanzeje?
Nawasilisha kwa ushauri nasaha
Watalaam wa mahusiano wa kiume na kike
Siku za karibuni nimeanza kuvtiwa "kihisia" na member 1ja wa kike.
Tatizo langu ni domo zege sijui nianzeje .lakini kila nikiona comment yake roho inasuuzika.teh teh teh . KIla nikiona Avatar Uwiiiiiii bababe udenda ndo unanitoka kabisa
Imetokea tu ghafla sijui umbo lake ,hobbies zake dini yake wala kabila lake.
Kibaya au kizuri zaidi naogopa kumwambia sababu sipendi na nachukia kukataliwa. Naweza kuugua mwezi mzima au nikakimbia hata hapa JF .
Nimuanzeje?
Nawasilisha kwa ushauri nasaha
Watalaam wa mahusiano wa kiume na kike
Siku za karibuni nimeanza kuvtiwa "kihisia" na member 1ja wa kike.
Tatizo langu ni domo zege sijui nianzeje .lakini kila nikiona comment yake roho inasuuzika.teh teh teh . KIla nikiona Avatar Uwiiiiiii bababe udenda ndo unanitoka kabisa
Imetokea tu ghafla sijui umbo lake ,hobbies zake dini yake wala kabila lake.
Kibaya au kizuri zaidi naogopa kumwambia sababu sipendi na nachukia kukataliwa. Naweza kuugua mwezi mzima au nikakimbia hata hapa JF .
Nimuanzeje?
Nawasilisha kwa ushauri nasaha
Kama mtu anayekuzingua ni DaSophy, nitafute.
Kama Mama Big jee?
Antafute Ze Finest.... au unataka akuone wewe?
Aisee.....kazi ipo hapa!!
Nafikiri Asprin ama The Finest wanaweza kukusaidia kwa karibu zaidi....
Or any member of ISC for that matter....maana hawa wamesomea hii kitu...:A S tongue:
Watalaam wa mahusiano wa kiume na kike
Siku za karibuni nimeanza kuvtiwa "kihisia" na member 1ja wa kike.
Tatizo langu ni domo zege sijui nianzeje .lakini kila nikiona comment yake roho inasuuzika.teh teh teh . KIla nikiona Avatar Uwiiiiiii bababe udenda ndo unanitoka kabisa
Imetokea tu ghafla sijui umbo lake ,hobbies zake dini yake wala kabila lake.
Kibaya au kizuri zaidi naogopa kumwambia sababu sipendi na nachukia kukataliwa. Naweza kuugua mwezi mzima au nikakimbia hata hapa JF .
Nimuanzeje?
Nawasilisha kwa ushauri nasaha
mwana me sikushauri uanze kupagawa na comment.inawezekana uliyemzimia sio manzi, ni chalii kama wewe.