Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Heshima mbele wanajamvi,ni hivi nina marafiki zangu wawili ambao wao hawajuani bado ila mimi ndio nawajua
Sasa rafiki yangu no 1 alikuwa na my girlfriend wake kwa muda mrefu tu,akaamua kubadili makazi na kwenda mji mwingine na aliondoka na huyu my girlfriend wake.
Sasa rafiki yangu no 2 ndiye niko naye sasa hivi,weekend hii akaniita kwake ili anitambulishe kwa my new girlfriend wake mpya,sasa ile naingia katika nyumba ya huyu rafiki no 2 nikamkuta huyu mwanamke wake mpya ndiye aliyekuwa my girlfriend wa rafiki yangu no 1,nilijizuia na yule mwanamke naye akajizuia kana kwamba hatujuani takatambulishwa tukapata lunch na vinywaji vya hapa na pale.
Binafsi kichwa kinaniuma
1.Nitaanzaje kumuuliza my friend wangu no 1 kuhusu huyu mwanamke wake kama bado wako pamoja au wameachana?
2.Je?nimuambie rafiki no 2 kuwa huyu my new girlfriend wake mpya alikuwa au bado wako pamoja na rafiki no 1 maana bado cna uhakika kama wako pamoja au wameachana.
Nikikaa kimya cku wakija wakikutana maana mie ndiye kiunganishi wa hawa marafiki zangu wawili wataniweka ktk kundi gani maana cri naijua?
Sasa rafiki yangu no 1 alikuwa na my girlfriend wake kwa muda mrefu tu,akaamua kubadili makazi na kwenda mji mwingine na aliondoka na huyu my girlfriend wake.
Sasa rafiki yangu no 2 ndiye niko naye sasa hivi,weekend hii akaniita kwake ili anitambulishe kwa my new girlfriend wake mpya,sasa ile naingia katika nyumba ya huyu rafiki no 2 nikamkuta huyu mwanamke wake mpya ndiye aliyekuwa my girlfriend wa rafiki yangu no 1,nilijizuia na yule mwanamke naye akajizuia kana kwamba hatujuani takatambulishwa tukapata lunch na vinywaji vya hapa na pale.
Binafsi kichwa kinaniuma
1.Nitaanzaje kumuuliza my friend wangu no 1 kuhusu huyu mwanamke wake kama bado wako pamoja au wameachana?
2.Je?nimuambie rafiki no 2 kuwa huyu my new girlfriend wake mpya alikuwa au bado wako pamoja na rafiki no 1 maana bado cna uhakika kama wako pamoja au wameachana.
Nikikaa kimya cku wakija wakikutana maana mie ndiye kiunganishi wa hawa marafiki zangu wawili wataniweka ktk kundi gani maana cri naijua?