Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
- Thread starter
- #21
Unamtreat kama mdogo wako?? mbona yeye anakutreat kama buzi lake, dah sijawahi sikia mwanaume anasema anamtreat mtoto mtanashati na mzuri kimaumbile kama mdogo wake...Safi sana hiyo
Kweli mtoto kaumbika, lakini with time nimejifunza kuappreciate tu uumbaji wa Mola bila ya lazima ya kumtamani mtu kingono. Tu watu wazima sasa, wenye majukumu. Angekuta sijatundika daruga I am sure ningemlipua na angelipa kila alichokula.