Wapendwa natumai mlikuwa na weekend njema.
Naandika kwa niaba ya cousin yangu ambaye tumetokea kuwa ndugu pamoja na marafiki sana. Anahitaji ushauri. Swala hili limemtokea jana na hivi sasa kachanganyikiwa hata kazini amegoma kwenda.
Alikuwa kwenye mahusiano kwa miaka saba na ana mtoto mmoja mwenye umri wa miaka mitano. Siku zote wako kwenye uhusiano mkaka ameonyesha kumjali na kuwa hakuna mwingine zaidi yake. Mwaka huu walikuwa wamepanda or rather yule mwanaume alimwambia kuwa atakuja kutoa posa hivi karibuni kwenye mwezi wa tatu. Dada anajulikana na ukoo mzima wa mwanaume alimpeleka kwa mara ya kwanza kijijini kwao mwaka jana disemba.
Sasa basi,tatizo ni kwamba,jana katika maongezi yao,kijana akatamka ninanukuu "kila ninayekuwa nae tunaendaa wee lakini namwona puu wewe ndio my best hakuna anayekukuta". Mdada akapaniki kumbe muda wote huo jamaa alikuwa anamchora,kumbe alikuwa akidate wanawake wengine!kumbe alikuwa hayuko serious nae!anajiuliza ya kuwa what if angepata mwenye sifa anazotaka si ndo angemdump for that somebody. Jamani cousin yangu alichofanya ni kumfukuza kijana wa watu na kumwambia aende akaendelee kusearch. Anasema kinachomuuma ni kuwa kuonwa mjinga,ina maana kijana angekaa kimya tu asiseme si maisha yangeendelea kwa nini amwambie.
According to binti ni kwamba kijana kamwambia anachojua yeye anamuhitaji kwenye maisha yake. Binti kawa mbogo hataki kumsikia na jamaa kamwambia kuwa anamtesa mtoto kwa ajili ya ujinga wake na kama ameamua hivyo basi hataki hata kumuona mtoto akikua atamtafuta baba yake na akiumwa asimwambie afe nae mwenyewe kwani ana card ya medical insurance. Binti kachanganyikiwa atamsomeshaje mtoto peke yake. Ameona wanaume wote ovyo haamini tena mwanaume anasema ataishi single for the rest of her life.
Kwa kweli mimi naona amekata tamaa ya maisha ndugu yangu huyu mana hata kazini leo amekataa kwenda yupoyupo tu kama mjinga haongei na mtu hataki kula halii,afadhali angelia ningejua moja uchungu unatoka but ye anatoa macho tu.
Jamani nisaidieni cha kumshauri huyu my dearest cousin sitaki kumpoteza. Anajiuliza sijui arudi for the sake ya mtoto ila hapohapo anasaema hatosahau. Hadithi ni ndefu ngoja niishie hapo kwa sasa nawahi job mie. Mchango wako wenye busara utamsaidia huyu binti. Shukran.
Naandika kwa niaba ya cousin yangu ambaye tumetokea kuwa ndugu pamoja na marafiki sana. Anahitaji ushauri. Swala hili limemtokea jana na hivi sasa kachanganyikiwa hata kazini amegoma kwenda.
Alikuwa kwenye mahusiano kwa miaka saba na ana mtoto mmoja mwenye umri wa miaka mitano. Siku zote wako kwenye uhusiano mkaka ameonyesha kumjali na kuwa hakuna mwingine zaidi yake. Mwaka huu walikuwa wamepanda or rather yule mwanaume alimwambia kuwa atakuja kutoa posa hivi karibuni kwenye mwezi wa tatu. Dada anajulikana na ukoo mzima wa mwanaume alimpeleka kwa mara ya kwanza kijijini kwao mwaka jana disemba.
Sasa basi,tatizo ni kwamba,jana katika maongezi yao,kijana akatamka ninanukuu "kila ninayekuwa nae tunaendaa wee lakini namwona puu wewe ndio my best hakuna anayekukuta". Mdada akapaniki kumbe muda wote huo jamaa alikuwa anamchora,kumbe alikuwa akidate wanawake wengine!kumbe alikuwa hayuko serious nae!anajiuliza ya kuwa what if angepata mwenye sifa anazotaka si ndo angemdump for that somebody. Jamani cousin yangu alichofanya ni kumfukuza kijana wa watu na kumwambia aende akaendelee kusearch. Anasema kinachomuuma ni kuwa kuonwa mjinga,ina maana kijana angekaa kimya tu asiseme si maisha yangeendelea kwa nini amwambie.
According to binti ni kwamba kijana kamwambia anachojua yeye anamuhitaji kwenye maisha yake. Binti kawa mbogo hataki kumsikia na jamaa kamwambia kuwa anamtesa mtoto kwa ajili ya ujinga wake na kama ameamua hivyo basi hataki hata kumuona mtoto akikua atamtafuta baba yake na akiumwa asimwambie afe nae mwenyewe kwani ana card ya medical insurance. Binti kachanganyikiwa atamsomeshaje mtoto peke yake. Ameona wanaume wote ovyo haamini tena mwanaume anasema ataishi single for the rest of her life.
Kwa kweli mimi naona amekata tamaa ya maisha ndugu yangu huyu mana hata kazini leo amekataa kwenda yupoyupo tu kama mjinga haongei na mtu hataki kula halii,afadhali angelia ningejua moja uchungu unatoka but ye anatoa macho tu.
Jamani nisaidieni cha kumshauri huyu my dearest cousin sitaki kumpoteza. Anajiuliza sijui arudi for the sake ya mtoto ila hapohapo anasaema hatosahau. Hadithi ni ndefu ngoja niishie hapo kwa sasa nawahi job mie. Mchango wako wenye busara utamsaidia huyu binti. Shukran.