Sijui kwanini watu mnafahamiana na mabeki tatu
Mtelezo...... wataacha kufahamiana nao....
tatizo hukumwambia mapema kuwa unamega kisela. asingekuganda.
Mkuu ilitokea kama ajali tu, mana tulikua tunaishi nyumba moja. Kwa miezi miwili lazima mtajenga mazoea