Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Kijana mmoja anayesoma kidato cha tatu kanijia kuniomba ushauri.Tatizo lake ni kwamba licha ya kusoma kwa bidii sana lakini anaishia kufeli katika mitihani.Udhaifu alionao ni kwamba anaposoma ukurasa wa kwanza anaelewa vizuri kabisa ila akifunika kurasa ya kwanza na kufunua kurasa ya pili,memory ya alichosoma page ya nyuma inafutika yote.Naombeni ushauri,nimsaidieje huyu kijana?