huyu jamaa hamna mtu wa kumfanya kitu nchi ii, iyo chamber yake ya law duniani ipo kwenye chati, hata iyo kesi, ataimaliza kiulaini kwani sidhan serikali kama ina wakili wa kumpelekesha uyu jamaa mahakamani!
Bona,wewe ni mdanganyika!Kusema Mkono advocate ipo kwenye chati ni propaganda za watu ambao hawajui wanachofanya.
Kuwa na mzungu mmoja au wawili ,au mhindi kazini kwake sio nyenzo ya kuwa chati duniani!What a cock up.
Hii law firm imeshiriki kuiibia serikali billioni nyingi toka kwa mikataba feki ya BoT eti kuiwakilisha BOT.
Kuwa na uwakilisha kwenye nchi fake na poor duniani ,doesnt make you international.Eti Mkono do you think anaweaza kukuwakilisha mahakamani UK au USA?a total joke.
Firm hii kama IMMA na wengineo,wanaenjoy usanii na ulaza wa serikali ya sasa,no rule of law etc.Firm hizi sasa ziko kuwakilisha makampuni ya kigeni kwenye mikataba na serikali ,madini,uwindaji,govt contracts etc.
Huyu Mkono & coy wangekuwa CHINA wangekuwa tayari mahututi.
Na uchawi wao,iko siku itafika