Huyu mzee angekaa kimya kabisa akamalizia pesa alizotulamba BOT..
apunguze kama nani na alikuwa wapi siku zote?
kesi alizosimamia BoT walishinda ngapi na yeye alikuwa akilipwa $500 kwa saa!!
amakweli nyani haoni ........
...kwa sisi ma-arbitrator.............hilo ni dau dogo sana aisee.........