Ningeelewa ningekaa kimya. Ukiona nimeuliza maana yake sijaelewa...we umeelewaje?
Ninani anajua cinema ya matrix ntakuibukia hapo ulipo kwenye PC yako Preta!!ohooo matani sitaki moyo wangu unataka kuufanyeje ukizima wewe utapata faida gani!!unababaika na hayo maembe??mimi dafu kumbuka!!
Ningeelewa ningekaa kimya. Ukiona nimeuliza maana yake sijaelewa...
hahahaha, nimekuelewa sasa. Kwa kweli Preta hata mimi namkubali.Nina hofu..raia watakusumbua/means unakubalika sana...ila humzidi Preta..kubali kataa
hahahaha, nimekuelewa sasa. Kwa kweli Preta hata mimi namkubali.
Amini usiamini wanaume wanavutwa zaidi na michango, sio avatar...
Mbona Husninyo hana Avatar na bado anakubalika? AshaDii kafunika uso ila anakubalika pia? Bht ana avatar ya kiume ila nayeye yupo? avatar bila kichwa is nothing.
Hivo hata hii ya Mwali haitosumbuliwa ila kwa michango atakayo toa.
kuna Jamaa anaitwa Saint Ivuga, kila mdada mpya humu jamvini anatakiwa aripoti kwake. Usharipoti?
Nimekuchagulia preta. Mpende usimtende.
Katisha
Mimi tofauti kidogo. mwambieni nitakua free kesho saa 4 na nusu hadi saa 5 kwa kumpokea... aje na acreditation letters toka kwa JF founders, laa sivyo atageuzia getini. lolkuna Jamaa anaitwa Saint Ivuga, kila mdada mpya humu jamvini anatakiwa aripoti kwake. Usharipoti?
Mi ndo nakontrol hii maneno..
unataja taja tu majina ya watu wa watuNimpende nani...Nimpende nani
wazuri JF ni wengi ila kupata wa ukweli ni balaa
wengi nia wajanja watoto wa mjini wamejaaa Tamaa
asiwe kama FF kila kitu kupinga,awe kama Preta..ili nipate raha
sio Mwali naogopa kila mtu atamkubali....
JF chit Chat....
..mimi na wewe kamanda...kuna ubaya..?unataja taja tu majina ya watu wa watu