- Thread starter
- #41
Usahauri kwa OleSendeka ni kuwa ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu. Mfano kuhusu suala la Katiba mpya maelezo yake yanakanganya kama yalivyo nukuliwa na Mwanahalisi. Kama mwanasiasa awe mwangalifu lasivyo hata wapiga kura wake watamsutukia.
Soma Mwanahalisi la wiki hii ukurasa wa 3 utanielewa nilichokileta hapa jamvini!!! Jamaa ni hovyo hovyo sana!!!