MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,856
- 6,215
Jaman kuna kiongozi mmoja wa chama cha magamba anaeongoza kwa kusinzia sana bungeni, ana kashfa ya kutembea na lulu yupo chumba cha jirani hapa nilipo anafanyiwa matibabu,
Najua kwa tanzania kupata nafasi ya kuwa nae karibu ni ngumu but hapa india tunapiga piga hata stories as kiswahil kinatuunganisha, sasa mimi moyon simpend nataka nimtie adabu kabla sijasepa. Na anazidi kunikera kwa story zake za kimagamba eti akirud bungeni atahakikisha Tanzania iwe na flyover kama za huku, atajenga hospital kama hii tulipo na watanzania watatibiwa bure aaagh na nyingine kibao
Nilikuja na b mkubwa ye ashamaliza matibabu nimemwambia atangulie siku moja ili nipate nafasi ya kumtia adabu huyu mzee kisha nisepe kesho yake. Na ticket nimeshakata ya ijumaa sasa siku iliyobak ya kumtenda ni kesho tu. Naomba ushauri wa haraka wana chit chat
Najua kwa tanzania kupata nafasi ya kuwa nae karibu ni ngumu but hapa india tunapiga piga hata stories as kiswahil kinatuunganisha, sasa mimi moyon simpend nataka nimtie adabu kabla sijasepa. Na anazidi kunikera kwa story zake za kimagamba eti akirud bungeni atahakikisha Tanzania iwe na flyover kama za huku, atajenga hospital kama hii tulipo na watanzania watatibiwa bure aaagh na nyingine kibao
Nilikuja na b mkubwa ye ashamaliza matibabu nimemwambia atangulie siku moja ili nipate nafasi ya kumtia adabu huyu mzee kisha nisepe kesho yake. Na ticket nimeshakata ya ijumaa sasa siku iliyobak ya kumtenda ni kesho tu. Naomba ushauri wa haraka wana chit chat