Nimfanyeje huyu dada?

kumjua mtu tabia zake na kama mko compartible itakuwa ngumu kama mko mbali mbali kama ulivyosema,jaribu kutafuta muda wa kuwa karibu naye ili umsome kama anafaaa,ukijiridhisha kama anafaaa,mgusie jambo la kuoana....mkiwa wachumba rasmi unaweza anza ku sex naye....haina haraka mwaya wala usikimbilie saana kummega,kuku wako mwenyewe manati ya nini?lol

Thanks Jestina. Taken
 
ngojea ngojea tu ila mali yya bahili ulliwa na................................ alfu wenzako wana bandu bandu, wanamaliza gogo ww umebaki nyoka la kibisa, ila shake well b4 use @ ndoa na usisahau DAWA YA PENZI
 
hawa madada wana tabia hizo, wakiona unashangaashangaa wanaanza kuleta mapozi na unaweza ukamegewa na wengine, we mchakachue tena ikiwezekana apate mimba then mapozi yote kushnei.
 
Kaka hayo mambo mwanzoni ulimwachia mungu kwa kubase katika dini na kuamua kusubiri vipi tena wataka kuyatoa kwake uvumilivu umekushinda? Mie nahisi ni majarib 2 ya kuvunja agano lenu. Kwanin kitu cha kwanza kuwaza ni labda kwa sababu ujazin nae? Angalia vitu vingine ambavyo vinaweza kuwa vipo pia. Agano ni promise usivunje.
 
Panda GROUND 4 NIJE NIKUAMBIE
Ndugu wana jf. Mimi nina rafiki yangu wa kike ambaye kimsingi ninampenda sana. Ni mwanamke anayejiheshimu sana japo kwa siku za hivi karibuni amekuwa na mapozi sana. Tangu nimekuwa naye kwenye mahusiano ( mwaka 1 ss) sijawahi kumchakachua kwa kuwa nina malengo makubwa zaidi ya kuwa mke wangu. Kutokana na tabia inayojitokeza ya kuanza mapozi imenifanya nitamani kubandua. I know from religious point of view that sex before marriage is both immoral and spiritually destructive, but with regard to the current social context where nearly everything is upsidedown and vice versa, je itakuwa sahihi mimi nikimchakachua ukizingatie nia yangu ya kumuoa huyu mwanamke?<br />
<br />
Naombeni ushauri<br />
GZ
<br />
<br />
 
Kaka hayo mambo mwanzoni ulimwachia mungu kwa kubase katika dini na kuamua kusubiri vipi tena wataka kuyatoa kwake uvumilivu umekushinda? Mie nahisi ni majarib 2 ya kuvunja agano lenu. Kwanin kitu cha kwanza kuwaza ni labda kwa sababu ujazin nae? Angalia vitu vingine ambavyo vinaweza kuwa vipo pia. Agano ni promise usivunje.

Nashukuru mkuu, ushauri wako nitauzingatia
 
Endelea kusubir huku wenzio wakimega.kesho utakuja kuomba ushaur et nadharauliwa kumbe we ndo....utajua mwenyewe
 
Subiri Yako Ndio Itakuponza, Ngoja Ngoja Utaonekana Zoba....

Mapozi mtoto yuko kwa heat mzee, hapo akitokea rijali mmoja ni kushika tu mkono na kwenda kubandua wakati wewe unangoja ndoa. Changamkia mama watoto yako chap chap mangi ohooo
 
Nina jamaa yangu alikuwa na ana itikadi kama zako, demu wake wamempiga mimba miezi michache iliyopita, we endelea kuzubaa
 
Back
Top Bottom