Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
- Thread starter
- #21
kumjua mtu tabia zake na kama mko compartible itakuwa ngumu kama mko mbali mbali kama ulivyosema,jaribu kutafuta muda wa kuwa karibu naye ili umsome kama anafaaa,ukijiridhisha kama anafaaa,mgusie jambo la kuoana....mkiwa wachumba rasmi unaweza anza ku sex naye....haina haraka mwaya wala usikimbilie saana kummega,kuku wako mwenyewe manati ya nini?lol
Thanks Jestina. Taken