fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,026
Mayasa good point, lakini mpeni pole huyo mwanamke mwenzenu aliye olewa na mwanaume kama huyo mtoa mada.Mimba ya mkeo imetoka kwa sababu ya mshtuko wa kufiwa na kaka yake, ila kwa kuwa haiwezi kutoka siku hiyo hiyo ndo maana matokeo yakaonekana akiwa safarini. Hivyo basi msamehe na maisha ya aendelee.. hata asingesafiri hiyo mimba ingetoka tu.. trust me!