Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
- Thread starter
- #21
hapana mkuu kosa lilikuwa langu na nimeomba msamaha kwa mods kwani wanadai ni kosa kisheria hapa jf kumpa mtu asie member acces ya kupost jukwaani ilikuwa nipewe ban ya mileleAsante pia kwa kuliweka sawa hili....ulivyosema mwanzo nilikuwa napata impression kwamba kuna mtu 'somehow' ame log in kwa kutumia credentials zako("hacking"). Nilianza kuingia woga......kwa kuwa kuna wadau kama wawili wengine nimewasoma wakilalamika IDs zao 'kutumiwa'.