nimezaliwa tena

Smile

JF-Expert Member
Jul 18, 2011
15,347
11,610
jamani waungwana kuna mtu alikuwa anatumia id yangu kupost humu jukwaani bila idhini yangu nimechange id yangu ya bebii
 
jamani waungwana kuna mtu alikuwa anatumia id yangu kupost humu jukwaani bila idhini yangu nimechange id yangu ya bebii

kwa hiyo wewe ni yule mjukuu wangu bebii au nachanganya mambo.................... kumbukumbu zangu zaniambia kuwa kuna member anayetumia hiyo ID ya Smile............... au ni huu uzee............
 
kwa hiyo wewe ni yule mjukuu wangu bebii au nachanganya mambo.................... kumbukumbu zangu zaniambia kuwa kuna member anayetumia hiyo ID ya Smile............... au ni huu uzee............
shikamoo babu umepona jamani ?nilikuwa nimesafiri sijaweza kuja tabata kukujulia khali .ila ni matumaini yangu upo salama kwani naamini mungu anasikia maombi yangu juu yako mpendwa
kuhusu kuwepo na member mwenye id hii sidhani maana mod asingeikubali kama ipo inatumika
 
kwa hiyo wewe ni yule mjukuu wangu bebii au nachanganya mambo.................... kumbukumbu zangu zaniambia kuwa kuna member anayetumia hiyo ID ya Smile............... au ni huu uzee............
Hata mimi kama nakumbuka hivyo...kabla hata "sijamfahamu" bebii nakumbuka kulikuwa na member anajiita "Smile"!

Lakini hili la watu kulalamika ID zao kutumiwa na watu wengine linaanza kuleta mashaka...pengine ni wakati Mods wanaweza kusaidia kuliweka sawa....kama lina ukweli ama la.
 
Hata mimi kama nakumbuka hivyo...kabla hata "sijamfahamu" bebii nakumbuka kulikuwa na member anajiita "Smile"!

Lakini hili la watu kulalamika ID zao kutumiwa na watu wengine linaanza kuleta mashaka...pengine ni wakati Mods wanaweza kusaidia kuliweka sawa....kama lina ukweli ama la.
sasa hapo mtakuwa mnanilaumu bure mimi nimewasiliana na mod sijajibadilisha mwenyewe labda muulizeni mwenyewe
 
  • Thanks
Reactions: SMU
shikamoo babu umepona jamani ?nilikuwa nimesafiri sijaweza kuja tabata kukujulia khali .ila ni matumaini yangu upo salama kwani naamini mungu anasikia maombi yangu juu yako mpendwa
kuhusu kuwepo na member mwenye id hii sidhani maana mod asingeikubali kama ipo inatumika

ahsante mjukuu wangu naendelea vizuri namshukuru mungu.............
lakini nina ombi mjukuu wangu, rejasha basi ile avatar yako uliyokuwa umetupia kigauni chekundu, hii ya sasa babu yako naona aibu kuitazama mie.............lol
 
Hata mimi kama nakumbuka hivyo...kabla hata "sijamfahamu" bebii nakumbuka kulikuwa na member anajiita "Smile"!

Lakini hili la watu kulalamika ID zao kutumiwa na watu wengine linaanza kuleta mashaka...pengine ni wakati Mods wanaweza kusaidia kuliweka sawa....kama lina ukweli ama la.

yep alikuwepo ... hata avatar yake naikumbuka
 
sasa hapo mtakuwa mnanilaumu bure mimi nimewasiliana na mod sijajibadilisha mwenyewe labda muulizeni mwenyewe
Not at all...sina sababu ya kukulaumu kabisa!

Actually, kabla ya wewe kuweka wazi sababu ya kubadili ID yako, nilivyoona posts za Bebii zina ID ya Smile...kilichonijia kichwani ni kuwa labda ulikuwa na ID mbili hivyo Mods wameamua kuziunganisha....tumeyaona haya yakitokea katika siku za karibuni (kuna IDs machachari walikuwemo humu lakini sasa hivi hazionekani tena...zimeunganishwa!)
 
Hata mimi kama nakumbuka hivyo...kabla hata "sijamfahamu" bebii nakumbuka kulikuwa na member anajiita "Smile"!

Lakini hili la watu kulalamika ID zao kutumiwa na watu wengine linaanza kuleta mashaka...pengine ni wakati Mods wanaweza kusaidia kuliweka sawa....kama lina ukweli ama la.

Inawezekana hili tatizo likawa kubwa zaidi...............
 
  • Thanks
Reactions: SMU
kwa hiyo wewe ni yule mjukuu wangu bebii au nachanganya mambo.................... kumbukumbu zangu zaniambia kuwa kuna member anayetumia hiyo ID ya Smile............... au ni huu uzee............
Mzee mwenzangu yule ni mjukuu wangu anaitwa "Smiles" haka ka kwako kanajiita Smile......... Chondechonde tusije nyang'anyana them jukuuz
 
Mzee mwenzangu yule ni mjukuu wangu anaitwa "Smiles" haka ka kwako kanajiita Smile......... Chondechonde tusije nyang'anyana them jukuuz
Asante sana Mkuu....naona 'uzee' huu unaanza kutunyemelea!
 
kwa hiyo wewe ni yule mjukuu wangu bebii au nachanganya mambo.................... kumbukumbu zangu zaniambia kuwa kuna member anayetumia hiyo ID ya Smile............... au ni huu uzee............

Hata mimi kama nakumbuka hivyo...kabla hata "sijamfahamu" bebii nakumbuka kulikuwa na member anajiita "Smile"!

Lakini hili la watu kulalamika ID zao kutumiwa na watu wengine linaanza kuleta mashaka...pengine ni wakati Mods wanaweza kusaidia kuliweka sawa....kama lina ukweli ama la.

sasa hapo mtakuwa mnanilaumu bure mimi nimewasiliana na mod sijajibadilisha mwenyewe labda muulizeni mwenyewe

yep alikuwepo ... hata avatar yake naikumbuka

Inawezekana hili tatizo likawa kubwa zaidi...............

Aisee nyie machalii, stukeni!

Kuna tofauti kubwa kati ya Smile na Smiles
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Aisee nyie machalii, stukeni!

Kuna tofauti kubwa kati ya Smile na Smiles
Ni kweli kuna tofauti....ingawa sio kubwa sana (naamini kama 'Bebii' angelijua hili pengine angechagua ID tofauti!).....angeweza kujiita "Tabasamu":poa
 
Hata mimi kama nakumbuka hivyo...kabla hata "sijamfahamu" bebii nakumbuka kulikuwa na member anajiita "Smile"!

Lakini hili la watu kulalamika ID zao kutumiwa na watu wengine linaanza kuleta mashaka...pengine ni wakati Mods wanaweza kusaidia kuliweka sawa....kama lina ukweli ama la.
Hapa tumeshachakachuliwa
 
Not at all...sina sababu ya kukulaumu kabisa!

Actually, kabla ya wewe kuweka wazi sababu ya kubadili ID yako, nilivyoona posts za Bebii zina ID ya Smile...kilichonijia kichwani ni kuwa labda ulikuwa na ID mbili hivyo Mods wameamua kuziunganisha....tumeyaona haya yakitokea katika siku za karibuni (kuna IDs machachari walikuwemo humu lakini sasa hivi hazionekani tena...zimeunganishwa!)
mimi sikuwa na id mbili nilimuomba mod anibadilishie bebii kuna mtu alikuwa anapost jukwaani bila idhini yangu nilijisahau nikampa pwd yangu
sina shida wala muda wala sababu ya kuwa na ma id kibao mkuu mimi sio mnafiki na ndo maana nikajitambulisha kabisa hapa
 
  • Thanks
Reactions: SMU
..... kuna mtu alikuwa anapost jukwaani bila idhini yangu nilijisahau nikampa pwd yangu ......
Asante pia kwa kuliweka sawa hili....ulivyosema mwanzo nilikuwa napata impression kwamba kuna mtu 'somehow' ame log in kwa kutumia credentials zako("hacking"). Nilianza kuingia woga......kwa kuwa kuna wadau kama wawili wengine nimewasoma wakilalamika IDs zao 'kutumiwa'.
 
Back
Top Bottom