jamani waungwana kuna mtu alikuwa anatumia id yangu kupost humu jukwaani bila idhini yangu nimechange id yangu ya bebii
shikamoo babu umepona jamani ?nilikuwa nimesafiri sijaweza kuja tabata kukujulia khali .ila ni matumaini yangu upo salama kwani naamini mungu anasikia maombi yangu juu yako mpendwakwa hiyo wewe ni yule mjukuu wangu bebii au nachanganya mambo.................... kumbukumbu zangu zaniambia kuwa kuna member anayetumia hiyo ID ya Smile............... au ni huu uzee............
Hata mimi kama nakumbuka hivyo...kabla hata "sijamfahamu" bebii nakumbuka kulikuwa na member anajiita "Smile"!kwa hiyo wewe ni yule mjukuu wangu bebii au nachanganya mambo.................... kumbukumbu zangu zaniambia kuwa kuna member anayetumia hiyo ID ya Smile............... au ni huu uzee............
sasa hapo mtakuwa mnanilaumu bure mimi nimewasiliana na mod sijajibadilisha mwenyewe labda muulizeni mwenyeweHata mimi kama nakumbuka hivyo...kabla hata "sijamfahamu" bebii nakumbuka kulikuwa na member anajiita "Smile"!
Lakini hili la watu kulalamika ID zao kutumiwa na watu wengine linaanza kuleta mashaka...pengine ni wakati Mods wanaweza kusaidia kuliweka sawa....kama lina ukweli ama la.
shikamoo babu umepona jamani ?nilikuwa nimesafiri sijaweza kuja tabata kukujulia khali .ila ni matumaini yangu upo salama kwani naamini mungu anasikia maombi yangu juu yako mpendwa
kuhusu kuwepo na member mwenye id hii sidhani maana mod asingeikubali kama ipo inatumika
Hata mimi kama nakumbuka hivyo...kabla hata "sijamfahamu" bebii nakumbuka kulikuwa na member anajiita "Smile"!
Lakini hili la watu kulalamika ID zao kutumiwa na watu wengine linaanza kuleta mashaka...pengine ni wakati Mods wanaweza kusaidia kuliweka sawa....kama lina ukweli ama la.
Not at all...sina sababu ya kukulaumu kabisa!sasa hapo mtakuwa mnanilaumu bure mimi nimewasiliana na mod sijajibadilisha mwenyewe labda muulizeni mwenyewe
Hata mimi kama nakumbuka hivyo...kabla hata "sijamfahamu" bebii nakumbuka kulikuwa na member anajiita "Smile"!
Lakini hili la watu kulalamika ID zao kutumiwa na watu wengine linaanza kuleta mashaka...pengine ni wakati Mods wanaweza kusaidia kuliweka sawa....kama lina ukweli ama la.
Mzee mwenzangu yule ni mjukuu wangu anaitwa "Smiles" haka ka kwako kanajiita Smile......... Chondechonde tusije nyang'anyana them jukuuzkwa hiyo wewe ni yule mjukuu wangu bebii au nachanganya mambo.................... kumbukumbu zangu zaniambia kuwa kuna member anayetumia hiyo ID ya Smile............... au ni huu uzee............
Asante sana Mkuu....naona 'uzee' huu unaanza kutunyemelea!Mzee mwenzangu yule ni mjukuu wangu anaitwa "Smiles" haka ka kwako kanajiita Smile......... Chondechonde tusije nyang'anyana them jukuuz
kwa hiyo wewe ni yule mjukuu wangu bebii au nachanganya mambo.................... kumbukumbu zangu zaniambia kuwa kuna member anayetumia hiyo ID ya Smile............... au ni huu uzee............
Hata mimi kama nakumbuka hivyo...kabla hata "sijamfahamu" bebii nakumbuka kulikuwa na member anajiita "Smile"!
Lakini hili la watu kulalamika ID zao kutumiwa na watu wengine linaanza kuleta mashaka...pengine ni wakati Mods wanaweza kusaidia kuliweka sawa....kama lina ukweli ama la.
sasa hapo mtakuwa mnanilaumu bure mimi nimewasiliana na mod sijajibadilisha mwenyewe labda muulizeni mwenyewe
yep alikuwepo ... hata avatar yake naikumbuka
Inawezekana hili tatizo likawa kubwa zaidi...............
Ni kweli kuna tofauti....ingawa sio kubwa sana (naamini kama 'Bebii' angelijua hili pengine angechagua ID tofauti!).....angeweza kujiita "Tabasamu"oaAisee nyie machalii, stukeni!
Kuna tofauti kubwa kati ya Smile na Smiles
Hapa tumeshachakachuliwaHata mimi kama nakumbuka hivyo...kabla hata "sijamfahamu" bebii nakumbuka kulikuwa na member anajiita "Smile"!
Lakini hili la watu kulalamika ID zao kutumiwa na watu wengine linaanza kuleta mashaka...pengine ni wakati Mods wanaweza kusaidia kuliweka sawa....kama lina ukweli ama la.
mimi sikuwa na id mbili nilimuomba mod anibadilishie bebii kuna mtu alikuwa anapost jukwaani bila idhini yangu nilijisahau nikampa pwd yanguNot at all...sina sababu ya kukulaumu kabisa!
Actually, kabla ya wewe kuweka wazi sababu ya kubadili ID yako, nilivyoona posts za Bebii zina ID ya Smile...kilichonijia kichwani ni kuwa labda ulikuwa na ID mbili hivyo Mods wameamua kuziunganisha....tumeyaona haya yakitokea katika siku za karibuni (kuna IDs machachari walikuwemo humu lakini sasa hivi hazionekani tena...zimeunganishwa!)
Asante pia kwa kuliweka sawa hili....ulivyosema mwanzo nilikuwa napata impression kwamba kuna mtu 'somehow' ame log in kwa kutumia credentials zako("hacking"). Nilianza kuingia woga......kwa kuwa kuna wadau kama wawili wengine nimewasoma wakilalamika IDs zao 'kutumiwa'...... kuna mtu alikuwa anapost jukwaani bila idhini yangu nilijisahau nikampa pwd yangu ......