Kama mme ameambiwa mtambo una matatizo na bado bidhaa inaendelea kuzalishwa na yeye amenyamaza nadhani siri anaijua. Ili mradi ni ndani ya ukoo hakuna shida. Na wewe nyamaza tu. Kitanda hakiongei.Shemeji shemejiii usiku mwazima taaa...
Shemeji kula kaka hayupo akirudi sitamwambia!!!
Mwaya we chuna tu mbona midume inazaa nje ya ndoa inatuficha wake zao :decision::decision::decision:
mwarabu? duh, pole sana, umeolewa na jini wewe. vipi, nambia habari za kufuga majini, utakuwa unayalisha kila siku humo ndani...na uzinzi huo..yeye kwanza mzinzi ndo maana anaoa wake wengi, wewe nawe ni mzinzi mzinzishi...mnafiki kujifanya unaumia moyo kumbe unafanya upatu kwenye nyumba ndogo yako (siwezi kuita mke wa pili mke, hiyo sio ndoa kwangu)...