denim kagaika
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 228
- 31
Nimeingia rasmi kwenye jf na natarajia kuchangia mengi na kupata mengi kwenye hii forum. Ngoja nioge halafu nivae nguo fasta kabla ma-cameroon hayajaninyatia...
Nimeingia rasmi kwenye jf na natarajia kuchangia mengi na kupata mengi kwenye hii forum. Ngoja nioge halafu nivae nguo fasta kabla ma-cameroon hayajaninyatia...
Nimeingia rasmi kwenye jf na natarajia kuchangia mengi na kupata mengi kwenye hii forum. Ngoja nioge halafu nivae nguo fasta kabla ma-cameroon hayajaninyatia...
Hi utadhaminiwa kuoga na hata kupakwa wese
acha woga kijana.........
Usiogope wanakuwa na zana.Nimeingia rasmi kwenye jf na natarajia kuchangia mengi na kupata mengi kwenye hii forum. Ngoja nioge halafu nivae nguo fasta kabla ma-cameroon hayajaninyatia...
Karibu sana JF mkuu.
Usiogope wanakuwa na zana.
Ila jiandae kuwa na ngozi ngumu kama ulivyojihami na come-men in room (cameroon)
Karibu jf
kARIBU JF.
Pita ndani