Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Kumbe ulikuwa chamatusi, jifunze kuwa na adabu hapa hata kama unakeleka na kitu
zomba hapo kwenye bold aise mbona unaniwekea status ambayo sipoHuwa tunawapa nondo mpaka matusi yanawatoka. Si mnajulikana, magwanda wanapokuwepo lazima fujo zitokee.
zomba hapo kwenye bold aise mbona unaniwekea status ambayo sipo
policcm ndo waanzisha fujo bana si wanajulikana kwa kusema marehem aliangukiwa na kitu kizito au alipigwa na kitu kizito kinachorushwa
Sasa zomba kama mtu amenyanyua mikono juu na hana silaha kumpiga na bomu la machozi au risasi ni ya nini
Maana ashakubali yaishe au kwenye mafunzo yao hakuna msamiati huo kuwa mtu ashanyanyua mikono juu
Ukiambiwa ondoka, unaondoka ukijidai wewe mpiganaji wenzako wanafanya kweli. Hapo sasa!
I don beliv it, but ivi ni kweli huyu naniliu ni mtoto wa nanihii?