Nimewaona leo LIVE

hapa nina kadi za mialiko 27 zote zinataka michango ya mbunge.naomba sana Posho ziongezwe....tena iwe laki 5 na ziitwe ujira wa mwia
 
ritz ugumu wako wa kusoma ndo mana unaona hasomeki wenzio mbona tumemuelewa????kama hujaelewa kaachini uliza wenzio ambao ni wepesi wa kuelewa ili uelekezwe
 
Ccm hali ni mbaya mno bila kufanya hivyo mbunge aweza kuitisha mkutano na kujikuta yuko peke yake
 
Mbona haueleweki ulichokiandika.[/QUOTE
Mkuu nilichoelewa mimi ni hiki kwa upande wangu
1. Mikutano bila kusomba watu kwa magari hakuna atakayehudhuria, kifupi watu wameshachoshwa na maneno maneno tu hivyo kutokana na hilo ili kupata watu lazima ugharimie, ugahrimike na ikiwezekana uwalipe.
2. Enzi za kudanganya imekwisha, maandalizi ya kuhutubia watu ni lazima yafanyike vinginevyo watu wataaibika kama siyo kutoabishwa
3. Ni dalili kuwa mwaka 2015 kutakuwa na kazi kutoa hesabu ya yaliyofanywa katika kipindi cha miaka mitano, kukubalika hakutotegemea kujua kuongea bali umefanya nn .
 
Leo nimeshuhudia kitu ambacho kwa miaka mingi nilikuwa nasimuliwa tu. Mbunge wa jimbo la Tunduru kusini-Eng. Ramo Makani(CCM) ambaye alikuwa "mwenyekiti kamati ya Jairo" anafanya mkutano wake sasa. Cha ajabu mkutano umefurika akinamama, watoto na wazee, na vijana wachache sana. Malori ya kubeba mchanga yanaendelea kusomba akina mama kupeleka eneo la mkutano (maarufu kama baraza la IDI) muda huu hapa mjini Tunduru. Kubwa zaidi leo ni sherehe ya vijana wakodisha pikipiki(boda boda) kwani pikipiki karibu mia mbili zimenyweshwa mafuta na CHAMA CHA MAPINDUZI huku wakipewa pesa (10,000) kila dereva pikipiki.................MHESHIMIWA KAPIGWA SWALI "kwa nini tangu 31 octoba mwaka jana hajaja?". Mheshimiwa kajitetea kuwa haina haja ya kuja ila yeye atakaa Dar es salaam tu anahangaika mawizarani kutafuta "MISAADA". Sijui misaada gani.

habari jalelo che mcheza karate!vuta subira hilo jimbo linakuja kukombolewa!nna plan ya kuja kugombea naamini sasa wayao wamestuka!
 
Back
Top Bottom