The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
sawa we soma bwtn lines ukifika kati weka nukta.
Halafu mimi namtaka huyo uliyembeba wewe ndio ananifaa mimi
sawa we soma bwtn lines ukifika kati weka nukta.
Usihofu P,
Mungu yuko pamoja nasi ... anatupigania. So, tutafika tu!
Umemwona wapi mdogo wangu Bht?
Oohh Maty Ohoo Maty
Halafu mimi namtaka huyo uliyembeba wewe ndio ananifaa mimi
Aaaahhhh!!!! Thubutu
Habari sako the finest, nimekuwa mpole sasa naogopa fimbo
unataka ugomvi na uncle wake DC?
Mbona haujawahi kuniambia siku zote ulikuwa unafanya siri
siri ya nn dia?mm na ww no siri
Karibu sana mkuu naona shangazi alikung'ang'ania sana.
Si tupo tumesha kata tamaa ya kuishi imradi kuche tu
Kwa hiyo unataka kusemaje?
Bandungu wapendwa,
Nimewamiss sana ndugu zangu nyooote wa JF...
Babu yenu nilipigwa lokapu kwa karibia wiki nzima. Ni ngumu kueleza yaliyonikuta ila jueni tu kuwa niko mzima!
Hebu nambieni jamani...nani kawaona wajukuu zangu akina Maty, Musinga, Smile; Teamo na Rose hao nimeshawamuona.
Na hawa je?....Nyamaya,Asprin, PJ, Askofu, Rev. Masa, Bht, JS, MJ1, FL1, Baba_Enock, Invisible, Finest, etc,
Tafadhali wambie wote kuwa nawakumbuka sana na pia nawapenda sana.
Mungu awabariki sana, muwe na week end njema tena ya mavuno ya kutosha,
Babu DC (1947,
Halafu mimi namtaka huyo uliyembeba wewe ndio ananifaa mimi
DC nitumie basi Pm unambie kwa nini walikupiga lockup ,
Tulikumiss sana me nikajua deni langu ndo nisahau tena
Nimefurahi kukuona ukiwa bukheri wa siha njema kabisa hasa huko tunakoelekea kufunga mwaka
welcome back DC